Unadhani timu zinasajiri kwa kukurupuka ? Kama anamuhitaji na yupo kwenye mipango atapeleka ,
Usiseme hajaamua ,means unawashushia heshima kuwa wanasajili ovyo
Ya mudrky yalikuwa yapi
Unatumia Negative opinion kujidifend , Kama Akija utasemaje?
Kama huwez kuwaamin edu na Arteta kwenye usajiri simamia msimamo mmoja
Mbona Madrid kwa Kai kasema hawez kufika £50m ,Bayern kwa Caicedo ,Rice wamewhindwa Bei , nao utasemaje ?
Mancity mwaka Jana kwa Cuculera alishindwa kufika over £40m , ila kwa Arsenal scenario Kama hizi inakuwa nongwa