SibishiHavertz khasa nafasi yake uwanjani ni namba 8 au 10 na Chelsea walikuwa wakimtumia kama namba 9 CF ambayo si nafasi yake na akawa hawezi kufunga magoli. Amecheza mechi 139 na kafunga magoli 32 tu!
Havertz ni mzuri pale anapofunga goli akitokea nyuma ya attackes wengine na huwa huru zaidi.
Kwahiyo Arteta atamtumia kama force 9 ambae hupenda kwenda kwenye box akiwa late na pia huweza kucheza kama mshambuliaji wa pembeni iwe badala ya Martinelli au Saka ila atakuwa na uwezo wa kupanua safu ya ulinzi ya adui.
Hivyo ni mchezaji mzuri kwa Arsenal.
Tatizo price tag