hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,335
- 26,808
Upo ndugu ,Arsenyani mmefanya biashara tena na Chelshit!!!![]()
Upo ndugu ,Arsenyani mmefanya biashara tena na Chelshit!!!![]()
Nipo! Naona mmeanza kuwa serious kama timu. Ila sasa huu usajili wa Kai siyo unaharibu mipango ya kumleta Rice Emirates?Upo ndugu ,
Dili la Rice Ni kelele za Westham ,Wanataka Biding warNipo! Naona mmeanza kuwa serious kama timu. Ila sasa huu usajili wa Kai siyo unaharibu mipango ya kumleta Rice Emirates?
Maana United nao inasemekana wanataka kutumia mchezaji na pesa kumchukua Rice.
£100m parefu sana.
Hamis ww mtu msumbufu sana leo umekuwa fans wa kai() A lot of players talk about improving as a result of Arteta's coaching & attention to detail.
(@JamesOlley)-ESPN
wanajua wamepgwa sema wanajipa moyo.Hamis ww mtu msumbufu sana leo umekuwa fans wa kai
| Positive negotiations are continuing with West Ham and Arsenal over Declan Rice.
Deep from myHamis ww mtu msumbufu sana leo umekuwa fans wa kai
, uliza fans wa arsenal , successor wa Ozil walimtarajia NaniWest Ham pia wataka Arsenal iwape Eddy Nketia pamoja na hiyo 40 ambayo ingekuwa ni 120 (80 +40)Dili la Rice Ni kelele za Westham ,Wanataka Biding war
Na wanamuomba city aingie
Ofa ya 3 itakuwa Ni £100m ,
Kwasasa Kuna uvumi nimeona Wanataka muingie mtoe pesa na Tominay au magwaya,
Zote hizi Ni kutaka tutoe £100m haraka
Walianza na £120m ,wakatishia city wiki hii ataiingilia Kati ,wameshusha Sasa Wanataka £100m
Man Shitty siyo mahasimu wa Arsenal.West Ham pia wataka Arsenal iwape Eddy Nketia pamoja na hiyo 40 ambayo ingekuwa ni 120 (80 +40)
Arsenal hawataki kumuachia Nketia kwani wataka wawe na wachezaji wa kutosha kucheza PL. Carabao + FA Cups na CL.
Arsenal kipaumbele kwa sasa ni Harvetz, Declan Rice na beki wa kulia wa Ajax Jurrien Timber.
Thomas Partey kama akienda Arabuni basi dogo Lavia wa Southampton atasajiliwa kama mbadala wake.
Arsenal wataka wachezaji wasajiliwe kabla ya safari ya Marekani maana wana mechi na MLS All Star XI tarehe 19 July kwenye uwanja wa Audi Field. Tarehe 22 July tutacheza na Manchester United hukohuko Marekani mjini New Jersey kwenye uwanja wa MetLife.
Tarehe 26 July tutaingia dimbani kucheza na FC Barcelona kwenye uwanja wa SoFi ambao hutumiwa na LA Rams ambayo ni timu ingine inomilikiwa na Stan Kroenke.
Arsenal itarudi London na tarehe 2 August itacheza na FC Monaco ya Ufaransa kwenye uwanja wa Emirates na tarehe 6 August Arsenal itaingia dimbani kucheza na mahasimu wao Manchester City kugombea kombe la Ngao ya Jamii.
Kabla ya hapo kuna mechi na FC Nurnberg tarehe 13 July.
Yes tuko salama, mkuu ilikuwa lazima tupunguze wachezaj kwa ukubwa wa kikosi tulichokuwa nacho + baadhi ya wachezaji walikuwa hawana mpango wa kuongeza mikatabaMbona kma Chelsea wanauza sana kweli tuko salama sana kwenye soko kweli? Tunaweza kununua wachezaji wazuri
Ana uzoefu na ligi.wanajua wamepgwa sema wanajipa moyo.
Havertz khasa nafasi yake uwanjani ni namba 8 au 10 na Chelsea walikuwa wakimtumia kama namba 9 CF ambayo si nafasi yake na akawa hawezi kufunga magoli. Amecheza mechi 139 na kafunga magoli 32 tu!Ana uzoefu na ligi.
Ana skills, pace.
Best scorer tunaye/ tunao.
So yeye awe tu anacheza one two na wakina Jesus na timu itafanikiwa.