Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Upo ndugu ,
Nipo! Naona mmeanza kuwa serious kama timu. Ila sasa huu usajili wa Kai siyo unaharibu mipango ya kumleta Rice Emirates?

Maana United nao inasemekana wanataka kutumia mchezaji na pesa kumchukua Rice.

£100m parefu sana.
 
Nipo! Naona mmeanza kuwa serious kama timu. Ila sasa huu usajili wa Kai siyo unaharibu mipango ya kumleta Rice Emirates?

Maana United nao inasemekana wanataka kutumia mchezaji na pesa kumchukua Rice.

£100m parefu sana.
Dili la Rice Ni kelele za Westham ,Wanataka Biding war

Na wanamuomba city aingie

Ofa ya 3 itakuwa Ni £100m ,

Kwasasa Kuna uvumi nimeona Wanataka muingie mtoe pesa na Tominay au magwaya,

Zote hizi Ni kutaka tutoe £100m haraka

Walianza na £120m ,wakatishia city wiki hii ataiingilia Kati ,wameshusha Sasa Wanataka £100m
 
Kai na forwards za Chelsea za sasa ziko vizuri kwenye kutengeneza chances ila siyo kuscore. Finishing iko chini kidogo, kwa maoni yangu Chelsea wanahitaji ST mkali na biashara itaanzia hapo.

Kai ni same, been saying it for a season, Arsenal magoli yanagawanywa hashindi ST pekee Jesus utamuona LM anatafuta mpira anayeenda kuscore Saka au Martinelli.

This means with Kai tumeongeza mtengeneza nafasi mwingine na mmaliziaji ni ama Jesus au Nketiah, usimuwaze Balogun. So ili aperform tunahitaji ST ambaye atakua mzengeaji.

60M kwa Kai na stats zake za hii misimu 3 ni nyingi ila ukifikiris soko la sasa hakuna namna ni kumpa sapoti kwakua anavaa uzi wa Arsenal.
 
Partey yagenda
Screenshot_20230621-174722_Twitter.jpg
 
() Jorginho is willing to snub Sarri/Lazio's interest to stay at Arsenal. Thomas Partey is being pushed towards the exit instead.

(@NizaarKinsella)
 
| Positive negotiations are continuing with West Ham and Arsenal over Declan Rice.

The clubs are working on a fee and structure.

Only when there is a degree of certainty on incomings in midfield will Arsenal sanction any departures.

[via @MichaelBridge_].
 
Dili la Rice Ni kelele za Westham ,Wanataka Biding war

Na wanamuomba city aingie

Ofa ya 3 itakuwa Ni £100m ,

Kwasasa Kuna uvumi nimeona Wanataka muingie mtoe pesa na Tominay au magwaya,

Zote hizi Ni kutaka tutoe £100m haraka

Walianza na £120m ,wakatishia city wiki hii ataiingilia Kati ,wameshusha Sasa Wanataka £100m
West Ham pia wataka Arsenal iwape Eddy Nketia pamoja na hiyo 40 ambayo ingekuwa ni 120 (80 +40)

Arsenal hawataki kumuachia Nketia kwani wataka wawe na wachezaji wa kutosha kucheza PL. Carabao + FA Cups na CL.

Arsenal kipaumbele kwa sasa ni Harvetz, Declan Rice na beki wa kulia wa Ajax Jurrien Timber.

Thomas Partey kama akienda Arabuni basi dogo Lavia wa Southampton atasajiliwa kama mbadala wake.

Arsenal wataka wachezaji wasajiliwe kabla ya safari ya Marekani maana wana mechi na MLS All Star XI tarehe 19 July kwenye uwanja wa Audi Field. Tarehe 22 July tutacheza na Manchester United hukohuko Marekani mjini New Jersey kwenye uwanja wa MetLife.

Tarehe 26 July tutaingia dimbani kucheza na FC Barcelona kwenye uwanja wa SoFi ambao hutumiwa na LA Rams ambayo ni timu ingine inomilikiwa na Stan Kroenke.

Arsenal itarudi London na tarehe 2 August itacheza na FC Monaco ya Ufaransa kwenye uwanja wa Emirates na tarehe 6 August Arsenal itaingia dimbani kucheza na mahasimu wao Manchester City kugombea kombe la Ngao ya Jamii.

Kabla ya hapo kuna mechi na FC Nurnberg tarehe 13 July.
 
West Ham pia wataka Arsenal iwape Eddy Nketia pamoja na hiyo 40 ambayo ingekuwa ni 120 (80 +40)

Arsenal hawataki kumuachia Nketia kwani wataka wawe na wachezaji wa kutosha kucheza PL. Carabao + FA Cups na CL.

Arsenal kipaumbele kwa sasa ni Harvetz, Declan Rice na beki wa kulia wa Ajax Jurrien Timber.

Thomas Partey kama akienda Arabuni basi dogo Lavia wa Southampton atasajiliwa kama mbadala wake.

Arsenal wataka wachezaji wasajiliwe kabla ya safari ya Marekani maana wana mechi na MLS All Star XI tarehe 19 July kwenye uwanja wa Audi Field. Tarehe 22 July tutacheza na Manchester United hukohuko Marekani mjini New Jersey kwenye uwanja wa MetLife.

Tarehe 26 July tutaingia dimbani kucheza na FC Barcelona kwenye uwanja wa SoFi ambao hutumiwa na LA Rams ambayo ni timu ingine inomilikiwa na Stan Kroenke.

Arsenal itarudi London na tarehe 2 August itacheza na FC Monaco ya Ufaransa kwenye uwanja wa Emirates na tarehe 6 August Arsenal itaingia dimbani kucheza na mahasimu wao Manchester City kugombea kombe la Ngao ya Jamii.

Kabla ya hapo kuna mechi na FC Nurnberg tarehe 13 July.
Man Shitty siyo mahasimu wa Arsenal.
 
Ana uzoefu na ligi.

Ana skills, pace.

Best scorer tunaye/ tunao.

So yeye awe tu anacheza one two na wakina Jesus na timu itafanikiwa.
Havertz khasa nafasi yake uwanjani ni namba 8 au 10 na Chelsea walikuwa wakimtumia kama namba 9 CF ambayo si nafasi yake na akawa hawezi kufunga magoli. Amecheza mechi 139 na kafunga magoli 32 tu!

Havertz ni mzuri pale anapofunga goli akitokea nyuma ya attackes wengine na huwa huru zaidi.

Kwahiyo Arteta atamtumia kama force 9 ambae hupenda kwenda kwenye box akiwa late na pia huweza kucheza kama mshambuliaji wa pembeni iwe badala ya Martinelli au Saka ila atakuwa na uwezo wa kupanua safu ya ulinzi ya adui.

Hivyo ni mchezaji mzuri kwa Arsenal.
 
Back
Top Bottom