𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City expected to submit an offer to West Ham for Declan Rice today. #MCFC have serious interest in recruiting 24yo England midfielder + it is anticipated a formal bid will be lodged soon to rival Arsenal for signing @TheAthleticFCHawa Mancity hasira zao zote za kumpoteza Gundogan wanazihamishia kwa Rice, nyie Asenyo endeleeni kubargain.𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City expected to submit an offer to West Ham for Declan Rice today. #MCFC have serious interest in recruiting 24yo England midfielder + it is anticipated a formal bid will be lodged soon to rival Arsenal for signing @TheAthleticFC
Let's wait and see what will happen next𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City expected to submit an offer to West Ham for Declan Rice today. #MCFC have serious interest in recruiting 24yo England midfielder + it is anticipated a formal bid will be lodged soon to rival Arsenal for signing @TheAthleticFC
Delay delay delayHawa Mancity hasira zao zote za kumpoteza Gundogan wanazihamishia kwa Rice, nyie Asenyo endeleeni kubargain.
Sio delay tatizo ni hiyo pesa ya kumnunua Rice nyie hamna, kiufupi Arsenyani hana tofauti yoyote Dr. Shika wazee wa 900 itapendeza.Delay delay delay
unawezakuta unajiquote mwenyewe mana watu mmevurugwa.Sio delay tatizo ni hizo pesa ya kumnunua Rice nyie hamna, kiufupi Arsenyani hana tofauti yoyote Dr. Shika wazee wa 900 itapendeza.

Kuna muda kama shabiki unapaniki kwamba kwanini arsenal wamechelewa kukamilisha hili dili mpaka city anaingia kwa miguu miwili.𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City expected to submit an offer to West Ham for Declan Rice today. #MCFC have serious interest in recruiting 24yo England midfielder + it is anticipated a formal bid will be lodged soon to rival Arsenal for signing @TheAthleticFC
Hamna kitu arsenali wajinga tuKuna muda kama shabiki unapaniki kwamba kwanini arsenal wamechelewa kukamilisha hili dili mpaka city anaingia kwa miguu miwili.
Je hawakuona biashara ya gundogan kwamba itaharibu na kuingilia mtiririko wa dili la rice? Kweli?
Kwamba shabiki unaweza ona intervention ya city ila arteta na bodi nzima hawakuona.? Really?
Kwa akili ya kawaida hii kitu haipo.kwangu mimi inawezekana arsenal walikuwa wanamsubiri city aje kwenye hii dili.wakati hammers wakichelewesha deal kusubiri city aingie ili kuwe na bidding war arsenal nao walikuwa wanamsubiri man city.swali ni how and for what?
Ngoja nikwambie. Sajili tulizofeli ambazo sisi tunaziita zilikuwa ni A-list inawezekana kabisa ndo zilikuwa B-list au zilikuwa ni technical methodology za kupata preferred targets.
Dili la muddrick liliniachia funzo kubwa sana kuhusu namna arsenal anavyosajili. Mind you kwamba inawezekana hata hatujui clear targets za arsenal tofauti na hizi zinazozunguzwa na media.
Welcome mancity kwenye deal la rice kuna kitu tutaona au tutajifunza
Hamna kitu arsenali wajinga tu


Wamesharidhika wenyewe na usajili wa Kai Hawezi. Kama umenifikilisha hivi.Kuna muda kama shabiki unapaniki kwamba kwanini arsenal wamechelewa kukamilisha hili dili mpaka city anaingia kwa miguu miwili.
Je hawakuona biashara ya gundogan kwamba itaharibu na kuingilia mtiririko wa dili la rice? Kweli?
Kwamba shabiki unaweza ona intervention ya city ila arteta na bodi nzima hawakuona.? Really?
Kwa akili ya kawaida hii kitu haipo.kwangu mimi inawezekana arsenal walikuwa wanamsubiri city aje kwenye hii dili.wakati hammers wakichelewesha deal kusubiri city aingie ili kuwe na bidding war arsenal nao walikuwa wanamsubiri man city.swali ni how and for what?
Ngoja nikwambie. Sajili tulizofeli ambazo sisi tunaziita zilikuwa ni A-list inawezekana kabisa ndo zilikuwa B-list au zilikuwa ni technical methodology za kupata preferred targets.
Dili la muddrick liliniachia funzo kubwa sana kuhusu namna arsenal anavyosajili. Mind you kwamba inawezekana hata hatujui clear targets za arsenal tofauti na hizi zinazozunguzwa na media.
Welcome mancity kwenye deal la rice kuna kitu tutaona au tutajifunza
Umeandika kitu kinachoeleweka, kuna mashabiki wakianza kuandika utadhani Arteta na Edu ni wapuuzi wa mwisho kwenye football na wao ndio ma tactician bora zaidi. USHABIKI LIALIA UZUZU SIO SIFA.Kuna muda kama shabiki unapaniki kwamba kwanini arsenal wamechelewa kukamilisha hili dili mpaka city anaingia kwa miguu miwili.
Je hawakuona biashara ya gundogan kwamba itaharibu na kuingilia mtiririko wa dili la rice? Kweli?
Kwamba shabiki unaweza ona intervention ya city ila arteta na bodi nzima hawakuona.? Really?
Kwa akili ya kawaida hii kitu haipo.kwangu mimi inawezekana arsenal walikuwa wanamsubiri city aje kwenye hii dili.wakati hammers wakichelewesha deal kusubiri city aingie ili kuwe na bidding war arsenal nao walikuwa wanamsubiri man city.swali ni how and for what?
Ngoja nikwambie. Sajili tulizofeli ambazo sisi tunaziita zilikuwa ni A-list inawezekana kabisa ndo zilikuwa B-list au zilikuwa ni technical methodology za kupata preferred targets.
Dili la muddrick liliniachia funzo kubwa sana kuhusu namna arsenal anavyosajili. Mind you kwamba inawezekana hata hatujui clear targets za arsenal tofauti na hizi zinazozunguzwa na media.
Welcome mancity kwenye deal la rice kuna kitu tutaona au tutajifunza
Arsenal wakimkosa Rice siwezi kuwalaumu. Arsenal walikuwa wanatafuta njia ya kufanya biashara nzuri.Hapa ndo tutaona kama timu iko serious na Rice.
Mambo ya mchezaji kupenda timu ni uongo, mchezaji anaenda kwenye maslahi mazuri Arsenal wakileta utani hata huyo Timber anaenda kwingine.
Dili la Rice toka miezi miwili iliyopita linaongelea isije ikawa kama Mudryk.
Unaweza ukanunua kitu cha 1000 kwa 10000???...uhalisia upo kwa Mudryk....hela nyng kanunuliwa lakini so far anaweza asifikie potential ambayo watu wanategemea aifikie....namna Man U anavyo operate kwenye sajili zake ni tofauti na Arsenal...kwhyo relax mkuu Haina haja ya kuponda sana...Sio delay tatizo ni hiyo pesa ya kumnunua Rice nyie hamna, kiufupi Arsenyani hana tofauti yoyote Dr. Shika wazee wa 900 itapendeza.
#Arsenal Ndoo
#Haaland Kiatu
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City expected to submit an offer to West Ham for Declan Rice today. #MCFC have serious interest in recruiting 24yo England midfielder + it is anticipated a formal bid will be lodged soon to rival Arsenal for signing @TheAthleticFC
Nyie manyumbu mna bahati sana tumekosa ubingwa. Msingeonakana humu kwenye jukwaa la title contenders wa ukwelihao wawili wanaojielewa ni computerarsenal na Labyrinth 84 wapewe tu maua
yao.
Ila hata HENRY14 hua namuelewa hanaga mihemuko ya kijinga.
#Arsenal Ndoo
#Haaland Kiatu
Partey kwa maoni yangu angebaki Arsenal bado alikua na msaada mkubwa sana, viungo wawili kwa wakati mmoja hii ni karata famba sanaMimi Bado sijaelewa Kwa nini haswa tunawataka Kai na Declan Kwa hizi bei tunazotaka kutoa. Haswa Kwa Kai sijui tumeona nini Cha kutoa 65m. Unachezea 200+ Kwa wachezaji watatu (+ timber), unawatoa Xhaka na Partey Kwa chini ya 60m...naona kama ni kupoteza wachezaji na pesa Kwa pamoja
Hata Mimi sielewi huu uamuzi. Ila muda ni mwalimu mzuri. Kama ikiwa hivyo tungoje tuoneYani Havertz aje kucheza double 8s halafu Rice lone DM!!!
Arsenal mna utani sana. Arteta anajivisha bomu.