hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,339
- 26,822
Huwa nakuheshimu naona una akili kumbe mweupe kabisawewe Aaron Arsenal AKA hamis77 kwa nini hua unajitoa ufahamu dirisha la usajili linapofunguliwa?
Umesahau dirisha dogo timu lako jinsi lilivyokutenda kwa Mudryk?
Wewe endelea tu kujipa moyo halafu baadae uje utuage hapa kwa kutudanganya umeibiwa simu kisha unafungua Id nyingine mpya.
Ok upo huru kuropoka chochote


BREAKING:




