Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
jana zilipobaki dakika sita nikazima TV ... coz timu iliyocheza 1st half ni tofauti kabisa na ya 2nd half .. wenger pls jenkinson umempa nafasi nyingi sana aoneshe kwamba yeye anaweza.. game ya kwanza alijifunga goli maridadi.. game ya jana mipira yote alikuwa anapoteza .. wakuu tutakuja kushangaa ligi ikianza babu yetu bado ataendelea kumng`ang`ania kijana ... but nashangaa nasoma habari za media`s uk wanamsifia eti ame improve jana! ,mpaka nikasikia kutapika ewwwww!!
...hhhaa hhaa...dahhh..mkuu I share your sentiments.
Pls give a Boy his credits bana. Hana experience yeyote kwenye top flight football, ila ana potential.
Kiukweli, hata mimi na doubts alichokiona Arsene Wenger kiasi cha kuvutiwa nae sana dogo huyu atuwakilishe kwenye EPL kukaimu nafasi ya Sagna, lakini amini usiamini...AW ana kipaji cha kuvumbua vijana kama hawa.
Pamoja na makosa yake madogo madogo (Makubwa in competitive football)...naamini in a near future ataichezea England/Finland! Naamini haitamaliza mwaka kabla hajaitwa National team. He's so talented. Kwasasa, natamani aendelee kuwa 3rd choice Right back,---Sagna, ---Eboue---Jenkinson...!