Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Hii msg nilikuwa nampa viper kuhusu subs za wengerFriendly mkuu muhimu kuwapa nafasi wengine
Hii msg nilikuwa nampa viper kuhusu subs za wengerFriendly mkuu muhimu kuwapa nafasi wengine
Huo uozo wa beki mkuu ndio hali halisi sio kwa vile ni friendly na wenger mwenyewe anajua lakini ndio mtu ambaye hatabiriki ana mpango gani.Yale yale wakuu, ukiwa uwanjani hakuna cha friendly wala nini, swala ni kucheza vizuri.Kifupi hatuna defense, na ndio kushindwa kwetu.Ila AW hataki kununua beki yoyote yule, infact tunaitaji mabeki wawili.
Dah jamani makosa yaleyale tu? Au 2melaaniwa?2-2 Beki uzembe mtupu
Wenger vipi? Asajili beki bana!!
Si unajua mabeki wana quality tofauti mkuu.Kama una top quality defenders expect top results kama una average defenders tegemea matokeo hayo piaDah jamani makosa yaleyale tu? Au 2melaaniwa?
Kama tukiendelea hivi msimu ujao utakuwa kama mingine tu!Dah jamani makosa yaleyale tu? Au 2melaaniwa?
Ni vigumu kujua kama zonal marking itafanya kazi vizuri kwa kupitia mechi hizi naona tusubiri tuone.
Usiwe na haraka mkuu official team photo ya season mpya ijatoka bado ndio maana hio hipo hewani lakini kama utaweza kuvumilia mpaka august 13 basi utaona mabadiriko.Kwa heshima na taadhima badili Avatar yako, hizi ni zama mpya za Arsenal - hatutaki tena 'cry babies'!
Usiwe na haraka mkuu official team photo ya season mpya ijatoka bado ndio maana hio hipo hewani lakini kama utaweza kuvumilia mpaka august 13 basi utaona mabadiriko.
Hapa hamna cha first choice wala nini!Hiyo sio first choice ya mabeki wa kati- first choice in Vamelini na jamaa anayeandaliwa kuja, Jagileka au Samba!
jana zilipobaki dakika sita nikazima TV ... coz timu iliyocheza 1st half ni tofauti kabisa na ya 2nd half .. wenger pls jenkinson umempa nafasi nyingi sana aoneshe kwamba yeye anaweza.. game ya kwanza alijifunga goli maridadi.. game ya jana mipira yote alikuwa anapoteza .. wakuu tutakuja kushangaa ligi ikianza babu yetu bado ataendelea kumng`ang`ania kijana ... but nashangaa nasoma habari za media`s uk wanamsifia eti ame improve jana! ,mpaka nikasikia kutapika ewwwww!!
Kwenye mambo ya ubingwa na ushindi lazima uwakubali MAN UTD kwenye EPL.Isikutishe sana ndugu Viper.
Kweli defense yetu sio nzuri ila sio mbaya ki hivyo.
League Table | The Match | Arsenal.com
Tume concede magoli 43, ukiangalia kwenye io table, Ni Man U, Chelski na Man City, wametupita kwa hilo.
Ila tumefunga magoli 72. Ni Manure pekee waliotuzidi kufunga.
Sasa tutadai kununua mabeki, ila tujiulize, hao wakina Samba, Jagieka au Cahill, kwanini timu zao zime concede magoli kuliko timu yetu?
Kama walishindwa kuzuia magoli mengi kuingia kwenye timu zao, kuna uhakika gani watafanya vizuri kwetu?
Tunaweza tukawa tunamlaumu AW bure tu, ebu tujiulize hayo maswali kwanza.
Kwenye mambo ya ubingwa na ushindi lazima uwakubali MAN UTD kwenye EPL.
Sasa mkuu hao mabeki wanaotajwa ni wazuri ila ni timu zao tu zinawaangusha ni kama arsenal sio beki zote ni uchochoro ilawakinunuliwa hao na kusaidiana na wazuri wa arsenal itakuwa na ukuta imara.
Wenger ni wakulaumiwa tu hatukatai ametransform mpira wa EPL kwa ujumla ila Arsenal inaitaji ushindi sasa maneno tumesikia sana, hao watoto sasa wanakuwa wakistaafu wataonyesha tape kwamba walikuwa wanapiga chenga,medal zinahitajika jamani......................