NYUNDO YA UTOSINI
KWA Mfumo na Namna Tunavyocheza tunahitaji Zaidi tuwe na Controllers wengi yaani Wqchezaji Wengi Ambao ni Techinical Gifted/Wenye Uwezo Binafsi na Ambao wanaweza Kufanya maamuzi Sahihi Hata Kwenye Mazingira Magumu/Mechi Ngumu..
Asilimia Kubwa Ya Game Nyingi Msimu Huu Tuliziweza Kimbinu na Kiufundi kasoro Game za City na Brighton..Ukiangalia Arsenal Inavyocheza na Spurs au Man U au Liverpool unaona Kabisa kuna Big Big Improvement ila Tukicheza Na city unaona kabisa Tuna Safari Ndefu Sana...Unajua Kwanin??
Cha Kwanza..City wana Misimu Zaidi ya Mi4 wanafanya Wanachofanya katika Ubora Ule Ule...
Cha Pili City wana World class Manager ambaye ni Second to none in this world Pep Guardiola
Cha Tatu City wana World Class Players ambao ni Controllers na Wanafit Kwenye Mfumo Wa pep 100%...
Faida Kubwa ya Wachezaji wazuri wenye Uwezo Binafsi wa Kukaa na mali na Ku control games ni Kwenye Games zenye Pressure Kubwa ya Matokeo Utaona Kwao ni So easy yan...
Pale Anapocheza Thomas Partey/Rodri ndo Uti wa mgongo wa mfumo mzima.Ile Segemu inahitaji Mchezaji aliyefit asilimia 85 ya game zote na pia Acheze kwenye kiwango chake kwenye Mechi nyingi haswa zenye pressure..
Kushuka Kiwango kwa Thomas Partey ilikuwa ni Pigo Kubwa mno ambalo Haliwez Kuelezeka
Uimara na Ufit wa Partey ndo Flow nzima ya Team Inapoanzia na Unapata Ubora wa Captain Saka na Wenzake
Nasikitika Kusema kwenye Beki zetu zote Ukimtoa Zinny hakuna mwenye uwezo mzuri wa ku pass na maamuzi akiwa na Mpira kama Saliba..Kuumia Kwa Saliba Tulipoteza Vitu vingi Sana Kule Nyuma..
Maboresho Eneo la Kati na kuendelea kuongeza Technically players ndio Cha muhimu