Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal tutakuwa na Center back Bora EPL Mpaka 2027

Daah siku zile nyakati Kama hizi ndo unasikia Cesc Fabregas anatucha anaenda Fc Barcelona

Samir Nasri anaenda zake Manchester City View attachment 2652896

“ Time will tell” hata hawa wataondoka , nasri cesc wote walichoka kuwa loser na wakatakiwa na timu bora zenye mentality ya ubingwa!! Saka , saliba wasiposhinda chochote miaka 2 ijayo then zikaja timu za maana anasepa tusubiri
 
Rice overprice tu hapo juzi amraabat kamshikisha magoti mara kibao tuu!!! Huyu beiyake inatikiwa kuwa kwenye 50 huko na si hio 100.
Unaona mbali sana, yaan rice ni mchezaji wa kawaida sana sana ni vile uingereza wake anapaishwa.
Ukisikia hizi Kondoo humu zinavyompamba kama hujawahi kumuona akicheza unaweza ukasema ni mchezaji wa sayari nyingine.
 
Hakuna exceptional ya city yoyote, points mlizovuna ni ubingwa aaah akili za arsenal muachie shabiki wake , mmeshindwa kubeba ubingwa kwasababu tu arsena ni failure team na si kingine yaani unaongoza points 8 then unachoma kwa soton relegated team unaenda ku draw na westham aliyekuwa ana fight relegation unakuja na porojo za exceptional ya city nyie bahati mlioipata haitatokea tena!! Ingekuwa bahati hio wamepata Newcastle,liver , chelsea or man utd now tungekuwa tunaongea ubingwa kwao !!!!
Bila CF hakuna sehemu mtaenda!! Jesus akipata majeraha then anacheza Nketiah sio msijekuleta matusi tena na makasiriko!!!

CF wapo wengi tu mfano ivan toney na Hojlund they are not average players
Huwa sikujibu nakuonaga huna hoja ,lakini huishiwi kuni qoute ,sitakujibu tena
 
Unaona mbali sana, yaan rice ni mchezaji wa kawaida sana sana ni vile uingereza wake anapaishwa.
Ukisikia hizi Kondoo humu zinavyompamba kama hujawahi kumuona akicheza unaweza ukasema ni mchezaji wa sayari nyingine.
Pale Chelkenge una Kiungo gani aina ya Declan ?

Mbona Enzo mmetoa €127m lakini Ni average player , leo unamponda Rice , kwa Kiungo gani uliye nae

Na kwa usajir wenu wa kukurupuka , msimu ujao mnaweza kugombea kushuka daraja tena
 
Robert Pires tells Caicedo should sign for Arsenal and that Arteta likes the player a lot

(@AndresPonce28 )
 
Wenger orphas mtabaki peke yenu klabu kubwa yenye aina kombe la Uefa leo.

Poor arsenyani
 
Arsenal are asking for around £40million if Kieran Tierney is to leave the club this summer. Mikel Arteta doesn’t want to sell the player, however won’t stand in his way as long as the clubs’ valuation is met.

Newcastle United lead the race, with Aston Villa also interested.
 
Huwa sikujibu nakuonaga huna hoja ,lakini huishiwi kuni qoute ,sitakujibu tena

Mimi na wewe nan hana hoja , nakupinga kwa hoja bado unaona sina hoja unaongopea watu tuendelee kukuangalia tu !
Wakati unaongoza league game 28 si huyu huyu hamis alikuwa anatudanganya sijuiii arsenal wanavyopishana oooh man city anaenda kufa pale pale etihad
Si ndo wewe zilivyonaki mechi 10 ukaanza kusema ubingwa ni wenu hata mkipoteza still city nae atapoteza si ni wewe ama tunakusingizia braza
Si ni wewe ulisema kila moja ashinde mechi zake when it was 8 games to go!! Si ni wewe uliesema liverpool mbovuu itakufa si chini ya goli 3 wakileta mpira wa kupishana !!

LEO KAGEUKA MANENO YAKE BAADA YA KUKIMBIA AKAJUA TUMESAHAU ET MAN CITY NI EXCEPTIONAL HUKUJUA HILI WATU HUMU SI WALIKUAMBIA !! Kina computerarsenal wakisema ooooh unakuwa mkali wewe arsenal huhijuiii kuliko tunavyoijua sisi wadanganye watoto
 
Mimi na wewe nan hana hoja , nakupinga kwa hoja bado unaona sina hoja unaongopea watu tuendelee kukuangalia tu !
Wakati unaongoza league game 28 si huyu huyu hamis alikuwa anatudanganya sijuiii arsenal wanavyopishana oooh man city anaenda kufa pale pale etihad
Si ndo wewe zilivyonaki mechi 10 ukaanza kusema ubingwa ni wenu hata mkipoteza still city nae atapoteza si ni wewe ama tunakusingizia braza
Si ni wewe ulisema kila moja ashinde mechi zake when it was 8 games to go!! Si ni wewe uliesema liverpool mbovuu itakufa si chini ya goli 3 wakileta mpira wa kupishana !!

LEO KAGEUKA MANENO YAKE BAADA YA KUKIMBIA AKAJUA TUMESAHAU ET MAN CITY NI EXCEPTIONAL HUKUJUA HILI WATU HUMU SI WALIKUAMBIA !! Kina computerarsenal wakisema ooooh unakuwa mkali wewe arsenal huhijuiii kuliko tunavyoijua sisi wadanganye watoto
Oya mbona unaniletea hasira ,Kuna sehemu au nimewahi ku quote nikakudanganya ?

Mbona unalazimisha ugomvi ,bifu na Mimi toka juzi? Mimi sikujui ,

Sitakujibu Tena ,
 
Robert Pires:


“Moisés Caicedo should join Arsenal because we are like a family. Mikel Arteta likes his style of play a lot. Arsenal would be the best move for his career right now. We are back in Champions League.”

Interview by @AndresPonce28.
 
Arsenal’s record in the Premier League with/without William Saliba during the 2022/23 campaign…

Signing him down to a new long-term contract is one of the best bits of business Arsenal will do all summer.
IMG_20230610_213424.jpg
 
Oya mbona unaniletea hasira ,Kuna sehemu au nimewahi ku quote nikakudanganya ?

Mbona unalazimisha ugomvi ,bifu na Mimi toka juzi? Mimi sikujui ,

Sitakujibu Tena ,

Hakuna ugomvi mbona unakasirika hili ni jukwaa huru
IMG_1391.jpg

Tatizo tuliumia kutudanganya kiongozi wetu wa arsenal mwisho wa siku ukakimbia ulikuwa wapi braza tukajua umejiua kiongozii
 
Oya mbona unaniletea hasira ,Kuna sehemu au nimewahi ku quote nikakudanganya ?

Mbona unalazimisha ugomvi ,bifu na Mimi toka juzi? Mimi sikujui ,

Sitakujibu Tena ,

IMG_1394.jpg

Ulituahidi as arsenal fan city anaenda kumalizwa kwake sasa mimi kama mfuasi nahoji mbona umebadilisha maneno tena .. now ni exceptional hapa tu

Dont take it personal twende tukaangalie the real oveload na ovelap mwanagu aroon arsenal
 
Timu ya kisenge kutwa rumours za usajili but no big trophies even Manchester City amewin champions league trophy and Arsenal still has 0 ueropean trophy seriously?
Arsenyau na mbwembwe zao zote zile, sio kombe tu wamekosa hata medani, yaani hata Yanga msimu huu imeizidi kwa mafanikio Arsenyo.
Halafu ilivyo mizwazwa inafurahia timu yao kuingia Uefa, eti ndio yalikua malengo yao.
Hao Newcastle ndio wameingia kwa mara ya kwanza lakini huwasikii hata wakijitapa.

Mancity msimu huu kachukua:
*Epl
*FA Cup
*Uefa champions league

Halafu Arsenyani wakatulaghai na ile kauli yao ya

#Arsenyo ndoo
#Haaland kiatu

Kumbe Arsenyo yenyewe ni kwangu pakavu nitilie mchuzi.

Poor Arsenyani.
 
Arsenyau na mbwembwe zao zote zile, sio kombe tu wamekosa hata medani, yaani hata Yanga msimu huu imeizidi kwa mafanikio Arsenyo.
Halafu ilivyo mizwazwa inafurahia timu yao kuingia Uefa, eti ndio yalikua malengo yao.
Hao Newcastle ndio wameingia kwa mara ya kwanza lakini huwasikii hata wakijitapa.

Mancity msimu huu kachukua:
*Epl
*FA Cup
*Uefa champions league

Halafu Arsenyani wakatulaghai na ile kauli yao ya

#Arsenyo ndoo
#Haaland kiatu

Kumbe Arsenyo yenyewe ni kwangu pakavu nitilie mchuzi.

Poor Arsenyani.
Timu ya kisenge hii in reality maneno ni mengi even Manchester City kabeba champions league before us ??sitapata usingizi leo
 
Back
Top Bottom