Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mancity-20230611-0003.jpg
 
Dunia haiko hivyo Ndugu, usishangae kesho ungali hai Arsenal FC ikatoka nyuma na kuwapita Man City tena mbali sana kirekodi kwa kubeba kombe hilo hilo la UEFA CL.

Mbona Man City yenyewe mwaka huu 2023 haikupata ushindani kiviile maana klabu kubwa nyingi sana zimeshuka kiuwezo zikiwemo Buyern Munich & Chelsea FC sababu ya kukosa umakini wa bodi kuamua kukaa na Makocha bora kwa muda mrefu baada ya mabadiliko ya ghafla kabla hata ya wiki 2 kupambana hatua za robo fainali na Real Madrid na Man City?

Pia tambua Man City imemgharimu zaidi ya miaka 7 tangu 2016 pamoja na kuwa na Kocha bora na uwekezaji mzuri kifedha kusajili Wachezaji bora kila mwaka na kufanya vizuri kwenye EPL & FA.

Pesa + Kocha bora na Wachezaji wazuri + Bahati (Upepo) = Makombe/Mafanikio.

Imagine 2006 Arsenal FC ilimtangulia Chelsea FC kucheza fainali za UEFA CL na haikubeba hilo kombe ilihali Chelsea FC ilikuja nyuma ya Arsenal FC kucheza fainali za UEFA CL 2012 & 2021 na zote ikabeba.

Nani alijua Chelsea FC itabeba hayo makombe mara 2 hizo kulingana na kikosi cha Wachezaji iliyokuwa nao dhidi ya timu pinzani za Buyern Munich & Man City?

Je Barcelona FC ya akina Xavi, Iniester, Puyol, Messi ilivyokuwa moto na kubeba UEFA zaidi ya mara 3 tokea 2006, nani alitegemea Real Madrid itabeba zaidi ya mara 5 tokea 2013?

Jifunze kuwa na akiba za maneno (future life is unpredictable/uncertainty).

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Dunia haiko hivyo Ndugu, usishangae kesho ungali hai Arsenal FC ikatoka nyuma na kuwapita Man City tena mbali sana kirekodi kwa kubeba kombe hilo hilo la UEFA CL.

Mbona Man City yenyewe mwaka huu 2023 haikupata ushindani kiviile maana klabu kubwa nyingi sana zimeshuka kiuwezo zikiwemo Buyern Munich & Chelsea FC sababu ya kukosa umakini wa bodi kuamua kukaa na Makocha bora kwa muda mrefu baada ya mabadiliko ya ghafla kabla hata ya wiki 2 kupambana hatua za robo fainali na Real Madrid na Man City?

Pia tambua Man City imemgharimu zaidi ya miaka 7 tangu 2016 pamoja na kuwa na Kocha bora na uwekezaji mzuri kifedha kusajili Wachezaji bora kila mwaka na kufanya vizuri kwenye EPL & FA.

Pesa + Kocha bora na Wachezaji wazuri + Bahati (Upepo) = Makombe/Mafanikio.

Imagine 2006 Arsenal FC ilimtangulia Chelsea FC kucheza fainali za UEFA CL na haikubeba hilo kombe ilihali Chelsea FC ilikuja nyuma ya Arsenal FC kucheza fainali za UEFA CL 2012 & 2021 na zote ikabeba.

Nani alijua Chelsea FC itabeba hayo makombe mara 2 hizo kulingana na kikosi cha Wachezaji iliyokuwa nao dhidi ya timu pinzani za Buyern Munich & Man City?

Je Barcelona FC ya akina Xavi, Iniester, Puyol, Messi ilivyokuwa moto na kubeba UEFA zaidi ya mara 3 tokea 2006, nani alitegemea Real Madrid itabeba zaidi ya mara 5 tokea 2013?

Jifunze kuwa na akiba za maneno (future life is unpredictable/uncertainty).

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Arsenal haitakaa ifanikiwe kwa lolote , mpaka mpewe dalili gani wazee ndo mjue arsenal is fuckin failure team!!! This year wamejionesha wazi sasa wewe sijuii unasubiri nini au kama tomaso mpaka upapase yani uonyeshewe mwisho wa dunia arsenal bado ipo vile vile watu wame travel mpaka future kuona hatimavya arsenal stil wamekuta kombe la mwisho ni 2003/2004 its just a joke though!!
 
Mimi na wewe nan hana hoja , nakupinga kwa hoja bado unaona sina hoja unaongopea watu tuendelee kukuangalia tu !
Wakati unaongoza league game 28 si huyu huyu hamis alikuwa anatudanganya sijuiii arsenal wanavyopishana oooh man city anaenda kufa pale pale etihad
Si ndo wewe zilivyonaki mechi 10 ukaanza kusema ubingwa ni wenu hata mkipoteza still city nae atapoteza si ni wewe ama tunakusingizia braza
Si ni wewe ulisema kila moja ashinde mechi zake when it was 8 games to go!! Si ni wewe uliesema liverpool mbovuu itakufa si chini ya goli 3 wakileta mpira wa kupishana !!

LEO KAGEUKA MANENO YAKE BAADA YA KUKIMBIA AKAJUA TUMESAHAU ET MAN CITY NI EXCEPTIONAL HUKUJUA HILI WATU HUMU SI WALIKUAMBIA !! Kina computerarsenal wakisema ooooh unakuwa mkali wewe arsenal huhijuiii kuliko tunavyoijua sisi wadanganye watoto
Team mashabiki zake wanatafuta huruma wakati wao wenyewe walizembea..
 
Pale Chelkenge una Kiungo gani aina ya Declan ?

Mbona Enzo mmetoa €127m lakini Ni average player , leo unamponda Rice , kwa Kiungo gani uliye nae

Na kwa usajir wenu wa kukurupuka , msimu ujao mnaweza kugombea kushuka daraja tena
Endelea kuwaaminisha wenzio kuwa Rice(Ubwabwa) ni bonge la mchezaji, badae uwakimbie
Rice kumfananisha na enzo, ni kumkosea heshima enzo, ningekuona unajua mpira ungesema Caseido ni bonge la mchezaji ila sio huyo mchele.
 
Huyu hamiss ni mgonjwa wa akili sio bure.
Hii ni timu kweli pumbavu, timu haijawahi kuwa serious, iko serious tuu kwenye tetesi za kipumbavu na kuna uwezekana mkubwa hata huyo rice asisajiliwe wala caicedo.
 
Back
Top Bottom