Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Rice overprice tu hapo juzi amraabat kamshikisha magoti mara kibao tuu!!! Huyu beiyake inatikiwa kuwa kwenye 50 huko na si hio 100.
Cry more
IMG_20230608_174038.jpg
 

Daaah its against man utd, season hiii haikuwa arsenal vs man utd in title race !!! Akili za arsenal fans bado zipooo mwaka 2008 inasikitisha kweliii !!! Man utd ambae msimu wake huu anajiona mbovu lakini wewe unafurahiii kumfunga na ukimfunga unajiona bingwa , nembu lete hii huyo rice against man city!!
Stats za rice against man utd timu ambayo bado inajitafuta
 
Daaah its against man utd, season hiii haikuwa arsenal vs man utd in title race !!! Akili za arsenal fans bado zipooo mwaka 2008 inasikitisha kweliii !!! Man utd ambae msimu wake huu anajiona mbovu lakini wewe unafurahiii kumfunga na ukimfunga unajiona bingwa , nembu lete hii huyo rice against man city!!
Stats za rice against man utd timu ambayo bado inajitafuta
Sina muda wakubishana na wewe naona unafosi Sana
 
Oya manjesta hela hakuna


Manchester United have made a check on Declan Rice, but finances will prohibit them from paying £100million for a midfielder, which is West Ham’s asking price.

Arsenal are seen as strong favourites to be the 24-year-old England international’s next club.

@lauriewhitwell- Tier 1 for manjesta newa
Sasa Rice wa nini United? Chukueni nyie Arsenyani.
 
️ | TRANSFERS: Arsenal to launch £75m Caicedo bid.

: According to journalist Charlie Haffenden (@JournoHaff), Arsenal will make a £75m bid to sign Brighton midfielder Moises Caicedo.

Haffenden: “Understand Arsenal will lodge a new bid for Moises Caicedo, similar to the £75m package rejected in January.”

He goes on to say that Brighton are open to negotiate.

Arsenal set to go big this summer with £92m Declan Rice bid also imminent. 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 #AFC #Transfers #BHAFC #Transfers
 
Arsenal appear to be at the front of the queue for Declan Rice. The consensus across the industry that Arsenal will rapidly try to close the deal. From everything we know Arsenal have made most headway but not done yet

(@David_Ornstein - Tier 1 via @FIVEUK)
 
Sina muda wakubishana na wewe naona unafosi Sana

Declan rice ni average player !! Akikutana na viungo wa maana kwa bei hioo mtapigwa kama pepe ila unaweza shangaa mkamkosa vile vile!!! Vipi record transfer yetu pepe!!! Sijawahi kuona mchezaji anavunja rekodi transfer ya timu then anatolewa kwa mkopo ila kwa arsenal vituko haviishiii!!!
 
|| An agreement has been reached between Arsenal and William Saliba to extend his contract, on £190-200k PW


[@TeamNewsAndTix,
IMG_20230608_105824.jpg
 
Understand the agreement between Granit Xhaka and Bayer Leverkusen is still valid, sealed and confirmed at this stage. He accepted one month ago ️ #BayerLeverkusen

Arsenal will only give the green light once they sign new midfielder with Declan Rice as priority target. #AFC
 
@Teamnewsandtix on how confident he is Rice will sign for Arsenal:


“It will be interesting if any of my mates are reading this because I’m naturally pessimistic, but one of them asked me about two months ago & I said 75% he’ll be here, he’ll be with us. Last week it was probably 80%-85% & with stuff I’ve learnt this week, I’m nearing 90% confident.”


[@cdavison_afc] #afc
 
Tatizo ni bei yake, wakati huohuo sokoni kuna Caicedo na Amrabat kwa bei pungufu.
Caicedo ni £75-80m ,sio pungufu hiyo


Amrabat kwanini hawamshobokei Sana na Bei yake Ni ndogo?

Binafsi namuamini kocha wangu Hadi kutaka kutoa £100m kwa Rice Kuna namna anataka amtumie

Kumbuka Rice Ni muingereza kashaonesha quality kwa misimu mitatu Sana ,
 
|| Arsenal have moved a step closer to Declan Rice deal, as West Ham target three players to spend his £92m fee on

[Via - @Matt_Law_DT].-Tier 1
 
Arsenal plan a renewed offer for Caicedo .

Arsenal also want to sign another attacking player, a centre back and a full back.

(@garyjacob )

Peleka ofa faster £75M au £80M, tukamilishe mapema ukizingatia tukimsajili huyu jamaa ni kama tumesajili wachezaji wawili kwa wakati mmoja LB na DM.

Namkubali sana huyu mwamba ni mara 2 ya Rice
 
Kumbe hamisa77 ndio computerarsenal sikuwa najua aisee
. Aaron Arsenal ni hamis77 ila niliamua kujipa muda mpaka dirisha la usajili likikaribia kufunguliwa ndio nitajihakikishia kua ni kweli.
Alivyoanza tu kutuletea tetesi za usajili ndio nikapigia mstari kabisa kua hamis77 ndio yule Aaron Arsenal aliekua anatuletea tetesi za usajili wa Mudrick kila baada ya sekunde 5.
Oyaaa hamis77 twende zetu kwenye jukwaa la United tukamnange 7Hag kua ni kocha wa mchongo halafu Antony ni mchezaji wa Youtube Man Utd tumepigwa £100m
 
Back
Top Bottom