Sijakuelewa.Endelea kujidanganya ! Time flies! Kipindi unaanza kushabikia arsenal at young age kwa mapenzi ya arsenal kucheza mpira mzurii ndivyo ivyo ivyo madogo wameanza kuishabikia city kutokana na sababu kibao na zenye mashiko zaidi kama makombe , mpira mzurii na world classic players!!!! Jiulize kwanini at your age kwenye 10 0r 12 uliishabikia arsenal , man utd or liverpool na si everton , Newcastle, bolton spurs or bolton ? Linganisha na dogo aliyezaliwa 2000 ana miaka 10 ambao ni umri sahihi wakua shabiki wa mpira na man city 2010 inaanza kuwa vizuriii up to now kipi kimzuiee kushabikia city? Au ulipoanza kushabikia mpira u thought wewe ndo last one
Katika hizo timu ulizotajamimi tangia long time nafahamika penye ukweli huwa nanyoosha maelezo ukifananisha Liverpool Chelsea Manchester United na hata City soon atatuacha kwa achievements za makombe(I repeat very soon atatuacha)tunakuwa tunakosea sisi tutabakia kujitamba tu kuwa tuna golden trophy
sababu ya 2004 au kucheza final ya champions league pekee 2006 otherwise mengineyo tunakaa kimya tu sababu hao wote wana Premier league Trophies
but je ya Ulaya unayo?hapo unaishia kuondoka zako tu eneo la tukio kwa aibu
Arsenal kabottle nini?Ndo ujue the bottlers ni wale wale jana leo na milele![]()
Kaka Castr haya yote yanafahamika Issue kubwa ni big trophiesKatika hizo timu ulizotaja
3 zishanunua mchezaji kwa 100M
2 zishafanya hivyo zaidi ya mara 1
4 zishauziwa wachezaji kwa 70M+ na wachezaji wakawa vimeo
3 zimekua ni kawaida kwao.
Katika hizo timu 1 haina uwanja, 1 inafikiria kutanua uwanja.
Katika hizo timu 3 zimezalisha faida kuliko Arsenal.
3 zina wamiliki 'Matajiri vichaa'
Katika hizo timu nne 1 ilinunua mchezaji kwa 100M msimu ujao ikamtoa kwa mkopo. Na timu 2 hua zinawaweka benchi wachezaji wao wa 100M
Investment yao na ya Arsenal ndiyo imeleta utofauti. Nimesoma hapo juu kuna jamaa kasema imetengwa 200M kwa ajili ya usajili.
Kwa mpira wa sasa hapo ni unanunua winga mbovu kutoka Ajax, unabakiwa na 100M. Unanunua ST Mbovu kutoka ureno na hela imeisha.
ina maana ni lini Arsenal tutaiona inabeba Uefa champions league trophy
au hata Europa league trophy
?hata Premier league trophy
limeanza kutukimbia for more than 20 years nowKama bajeti ni hii aliyotaja jamaa sioni ni kivipi inawezekana.Kaka Castr haya yote yanafahamika Issue kubwa ni big trophiesina maana ni lini Arsenal tutaiona inabeba Uefa champions league trophy
au hata Europa league trophy
?hata Premier league trophy
limeanza kutukimbia for more than 20 years now
Ngoja tuone itakuwaje but kama unavyosema nakubaliana na weweKama bajeti ni hii aliyotaja jamaa sioni ni kivipi inawezekana.
Yaani hizi trophies ili kuja tunahitaji zaidi ya tulichonacho. Kwa 200M ni uongo, bodi ina vision za kuendelea kutaka club ijiendeshe.
Next season mchuano ni mkali zaidi. Newcastle ana list yake ya wakina Neymar, chelsea ikileta kocha mzuri na ST ugumu mwingine unaongezeka.
Liva akiwakusanya Maddison na Tielemans ni tatizo jingine.
Sina cha kusema juu ya ligi au cl mpaka dirisha la usajili lifungwe
%kwa wanaoelewa Mpira wanajua hii ni project na project ni process. kilichotokea ni Mikel kaoverachieve kwa kujaribu kushindana na Pep wakati akiwa 3/5 phases of his project, ndio maana kaomba msamaha kwa kuwatengenezea mashabiki matarajio ambayo amefeli kuyafikia, hii haimaaniahi kuwa hatofika, by the right time the project will go bang. Yaah, we trust him, the nigga is so smart, sio kama Vipara wengine wana act like Pep wannabe. ahaaha!Mipango ya mashabiki wa asenali na mipango ya wenye timu havijawahi kuwa sawa toka 2007 kama sijakosea....
Wenye timu Msimu huu niliona walitaka kurudi yuefa tu, mashabiki wakataka kombe baada ya kuona krismasi imepita na asenali.
Tatizo la upana wa kikosi ndio linalowakosesha makombe asenali toka 2007.
Ili asenali akapate walau kombe moja msimu ujao atahitaji kusajili si chini ya wachezaji bora 6-8
Binafsi napendekeza
Beki cancelo
Viungo Gundogan,Rice, Madison, Tielmans
Washambuliaji Mousa Diaby,Kudus.
Wakuuzwa kwa vipengele vitavyoinufaisha asenali
1.Tierney
2.Esr
3.Nelson
4.Balogun
5.Lokonga
6.Nketiah
7.Mari
8.Tavares
9.Holding
10.xhaka
Mkopo wa mpeleke mfanyakazi hewa Fabio Vieira...
Hivi mashabiki wa asenali jf hawawezi kuwatumia imeili wakina edu huko kuwapa mapendekezo yanini kifanyike.
Ila asenali na kusajili wachezaji wa burenasikia wanamvizia kante na thiago silva wakizeeka wawasajilii
![]()
we need to be aggressive and fastMipango ya mashabiki wa asenali na mipango ya wenye timu havijawahi kuwa sawa toka 2007 kama sijakosea....
Wenye timu Msimu huu niliona walitaka kurudi yuefa tu, mashabiki wakataka kombe baada ya kuona krismasi imepita na asenali.
Tatizo la upana wa kikosi ndio linalowakosesha makombe asenali toka 2007.
Ili asenali akapate walau kombe moja msimu ujao atahitaji kusajili si chini ya wachezaji bora 6-8
Binafsi napendekeza
Beki cancelo
Viungo Gundogan,Rice, Madison, Tielmans
Washambuliaji Mousa Diaby,Kudus.
Wakuuzwa kwa vipengele vitavyoinufaisha asenali
1.Tierney
2.Esr
3.Nelson
4.Balogun
5.Lokonga
6.Nketiah
7.Mari
8.Tavares
9.Holding
10.xhaka
Mkopo wa mpeleke mfanyakazi hewa Fabio Vieira...
Hivi mashabiki wa asenali jf hawawezi kuwatumia imeili wakina edu huko kuwapa mapendekezo yanini kifanyike.
Ila asenali na kusajili wachezaji wa burenasikia wanamvizia kante na thiago silva wakizeeka wawasajilii
![]()
kwa wanaoelewa Mpira wanajua hii ni project na project ni process. kilichotokea ni Mikel kaoverachieve kwa kujaribu kushindana na Pep wakati akiwa 3/5 phases of his project, ndio maana kaomba msamaha kwa kuwatengenezea mashabiki matarajio ambayo amefeli kuyafikia, hii haimaaniahi kuwa hatofika, by the right time the project will go bang. Yaah, we trust him, the nigga is so smart, sio kama Vipara wengine wana act like Pep wannabe. ahaaha!


for more than 20 years now haya maneno matamu hayakosekaniki watu wanataka big trophies
kwenye makabati wewe unaongelea PROJECT PROJECT na kwa bahati mbaya Big team kama Arsenal haina hayo makombe ya ulaya jamani issue ni trophies
sio mambo ya maproject miaka 20 sasa unafanyaje na haya ma project?ukiulizwa project imeleta faida gani kwa Arsenal utajibu nini?kucheza mpira mzuri?hata Brighton anacheza mpira mzuriNajua Mnaoelewa haya mambo mpo unfortunately kuna wanaume wachache wenye tabia za kike humu, opinionated losers, hujitoa akili ili wapate attention. So sad.Hilo la kucompete na big 6 arteta kafanikiwa na sidhani kama kuna timu itaweza kuifanya arsenal mteja wake wa kuchukua point 6..
kilichobaki ni kuwa Huwezi kugombania ubingwa kama huwezi kumfunga unaegombania nae ubingwa . Ndo mana liverpool alifanikiwa na alilijua hilo na akaweza ku compete na man city.
Hicho ndo kinachofanyiwa kazi na arsenal na ndo maana ya process .... huenda mdogo mdogo....
Kama arsenal angekuwa na uwezo wa kuchukua point kwq man city msimu huu ni dhahiri shahiri huu ubingwa ulikuwa wake.
Hiyo ni kazi ya kocha na bodi yao kujua kwamba wanalikamilisha vipi hili...
Ukitaka kushindana na bora lazima na wwe ujiimarishe uwe bora.
Bado nafasi anayo tusiubebe mpira wetu wa kibongo bongo kuupeleka na mbele, msimu mmoja tu unamkataa mchezaji?Fabio Vieira hafai kuwa kwenye benchi letu msimu ujao unless aimprove