Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu uliopita game ya kumaliza msimu tulishinda 5 bila.

Nikauliza 'Sasa hayo magoli yote ya kazi gani?' naona inajirudia tu hapa
 
Binafsi baada kama ya miaka 8 iliyopita msimu huu nimeinjoi saaana kuiona arsenal.
Kuna wakati fulani katika maisha inabidi ufurahie kila nukta nzuri ya muda unaoupata.the world is full of uncertainty.
Kesho ni muhimu ila leo ni muhimu zaidi maana ndo ya kwako.
 
Kwa hapa tulipofika Leeds ni confirmed kushuka daraja.

Leicester aombe Bournemouth ashinde.

Kuna watu wanakuambia Arsenal siyo timu kubwa kwakua haijachukua ligi kwa miaka 10+ iliyopita.

Leicester jioni hii inapambana isishuke daraja. Firm footing in the league ni bigger determinant kuliko hizo stori za vijiweni.

So Leicester ikishuka tutasema timu kubwa imeshuka daraja au?
 
Sababu pekee watu wanaingia uzi huu au wa nyumbu, cheltako au livafools ni kwakua wote tunajua hizi ndiyo timu kubwa pale epl na una uhakika utakutana na mashabiki wake kwenye nyuzi zao.

Kuliwahi kua na uzi wa spurs. Uliishi chini ya mwezi ule uzi. City ina mashabiki wanne tu JF nzima, kuna watu walianzisha uzi wa Wolves sijui hata umeenda wapi, sasa tusubiri wa Newcastle
 
Maddison
Tielemans
Barnes

Their destiny inakuaje?

Vardy is 36 huyu aweza baki na timu. Hawa wengine watakubali? Considering FFP rule Leicester atatakiwa kubalansi vitabu kwa kuwaachia baadhi ya wachezaji.

Alikomaa 80M for Maddison. Safari hii itakuaje?
 
Liverpool unaifananisha na arsenal kwa lipi sasa nipe range ya miaka au nikupe mimi tuanzie 2005 then tuone archivement zao
Liverpool 2005 uefa champion , 2017/2018 uefa finalist, 2018/2019 uefa champion ,2021/2022 finalist , 2019 fifa word club cup champion!! Bado 2019/2020 EPL champion .
Kwa miaka 18 Liverpool ana mafanikio makubwa sana haya nitajie arsenal kwa miaka hiyo 18 ana mafanikio gani ? Ndani ya miaka 18 Liverpool kachukua kila kitu kinachotakiwa kuchukuliwa na timu as club, kachukua uefa , fifa club cup, ligi na fa cup .
Tutajie arsenal kwa miaka 18 hiyo ana nini cha maana ?
Wewe ni shabiki wa timu gani kwanza..? Tuanzia hapo
 
Liverpool unaifananisha na arsenal kwa lipi sasa nipe range ya miaka au nikupe mimi tuanzie 2005 then tuone archivement zao
Liverpool 2005 uefa champion , 2017/2018 uefa finalist, 2018/2019 uefa champion ,2021/2022 finalist , 2019 fifa word club cup champion!! Bado 2019/2020 EPL champion .
Kwa miaka 18 Liverpool ana mafanikio makubwa sana haya nitajie arsenal kwa miaka hiyo 18 ana mafanikio gani ? Ndani ya miaka 18 Liverpool kachukua kila kitu kinachotakiwa kuchukuliwa na timu as club, kachukua uefa , fifa club cup, ligi na fa cup .
Tutajie arsenal kwa miaka 18 hiyo ana nini cha maana ?
FACT ndani ya 18 years Arsenal hana kombe lolote la maana zaidi ya FA but kwa Liverpool ana champions league, Premier league, Super cup ,World club cup (haya ndio makombe ya kiume ) Arsenal achievement yake kubwa ni kuingiza mapato na kuwa moja ya team tajiri that's it tukubaliane na ukweli kuwa Arsenal ni team ambayo haina achievements za makombe na kila siku huwa nalisema hili Arsenal kuwa second position sio big deal yaani fan na akili yako unakaa unafurahia second position baada ya kuongoza league kwa 248 days ni ukichaa wa hali ya juu,but sishangai kuanzia mmiliki ,management hawana ndoto yoyote ya kuwa na big trophies never ever kuingia champions league ndio big achievement yetu for more than 8 years na ndio tunaona ni kombe letu ,tunaishangilia hii team sababu tumetoka nayo mbali ila hatuwezi kukaa meza moja na Chelsea Liverpool Manchester United (pale tutakapotakiwa tuanze kuonyesha tuna nini toka makombe makubwa)ukweli mchungu na unauma
 
Sababu pekee watu wanaingia uzi huu au wa nyumbu, cheltako au livafools ni kwakua wote tunajua hizi ndiyo timu kubwa pale epl na una uhakika utakutana na mashabiki wake kwenye nyuzi zao.

Kuliwahi kua na uzi wa spurs. Uliishi chini ya mwezi ule uzi. City ina mashabiki wanne tu JF nzima, kuna watu walianzisha uzi wa Wolves sijui hata umeenda wapi, sasa tusubiri wa Newcastle

Endelea kujidanganya ! Time flies! Kipindi unaanza kushabikia arsenal at young age kwa mapenzi ya arsenal kucheza mpira mzurii ndivyo ivyo ivyo madogo wameanza kuishabikia city kutokana na sababu kibao na zenye mashiko zaidi kama makombe , mpira mzurii na world classic players!!!! Jiulize kwanini at your age kwenye 10 0r 12 uliishabikia arsenal , man utd or liverpool na si everton , Newcastle, bolton spurs or bolton ? Linganisha na dogo aliyezaliwa 2000 ana miaka 10 ambao ni umri sahihi wakua shabiki wa mpira na man city 2010 inaanza kuwa vizuriii up to now kipi kimzuiee kushabikia city? Au ulipoanza kushabikia mpira u thought wewe ndo last one
 
FACT ndani ya 18 years Arsenal hana kombe lolote la maana zaidi ya FA but kwa Liverpool ana champions league, Premier league, Super cup ,World club cup (haya ndio makombe ya kiume ) Arsenal achievement yake kubwa ni kuingiza mapato na kuwa moja ya team tajiri that's it

Halafu kuna kichaa moja anataka kufananisha arsenal na Liverpool. Liverpool kama timu imeshinda makombe yote ambayo club inapaswa kushinda in short hajaacha kombe lolote yote, yapo kabatini mpaka carabao ! Ukimuuliza basi kwa miaka hio 18 ataje tu kombe moja ambalo liverpool hajachukua
 
FACT ndani ya 18 years Arsenal hana kombe lolote la maana zaidi ya FA but kwa Liverpool ana champions league, Premier league, Super cup ,World club cup (haya ndio makombe ya kiume ) Arsenal achievement yake kubwa ni kuingiza mapato na kuwa moja ya team tajiri that's it tukubaliane na ukweli kuwa Arsenal ni team ambayo haina achievements za makombe na kila siku huwa nalisema hili Arsenal kuwa second position sio big deal yaani fan na akili yako unakaa unafurahia second position baada ya kuongoza league kwa 248 days ni ukichaa wa hali ya juu,but sishangai kuanzia mmiliki ,management hawana ndoto yoyote ya kuwa na big trophies never ever kuingia champions league ndio big achievement yetu for more than 8 years na ndio tunaona ni kombe letu ,tunaishangilia hii team sababu tumetoka nayo mbali ila hatuwezi kukaa meza moja na Chelsea Liverpool Manchester United (pale tutakapotakiwa tuanze kuonyesha tuna nini toka makombe makubwa)ukweli mchungu na unauma

Mpaka kuna jamaa anajua mimi na wewe ni mtu mmoja . Anakwambia ni new id kisa tu tunaongea ukwelii na arsenal fans wengi hawatakii kusikia ukweli
 
Mpaka kuna jamaa anajua mimi na wewe ni mtu mmoja . Anakwambia ni new id kisa tu tunaongea ukwelii na arsenal fans wengi hawatakii kusikia ukweli
mimi tangia long time nafahamika penye ukweli huwa nanyoosha maelezo ukifananisha Liverpool Chelsea Manchester United na hata City soon atatuacha kwa achievements za makombe(I repeat very soon atatuacha)tunakuwa tunakosea sisi tutabakia kujitamba tu kuwa tuna golden trophy sababu ya 2004 au kucheza final ya champions league pekee 2006 otherwise mengineyo tunakaa kimya tu sababu hao wote wana Premier league Trophies but je ya Ulaya unayo?hapo unaishia kuondoka zako tu eneo la tukio kwa aibu
 
Maddison
Tielemans
Barnes

Their destiny inakuaje?

Vardy is 36 huyu aweza baki na timu. Hawa wengine watakubali? Considering FFP rule Leicester atatakiwa kubalansi vitabu kwa kuwaachia baadhi ya wachezaji.

Alikomaa 80M for Maddison. Safari hii itakuaje?
Kuna wachezaji kama 6 pale lazima watasepa tu,

Maddison safari hii 40 wanachukua kwa timu yoyote itakayoenda mezani
 
Back
Top Bottom