Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
kwa wanaoelewa Mpira wanajua hii ni project na project ni process. kilichotokea ni Mikel kaoverachieve kwa kujaribu kushindana na Pep wakati akiwa 3/5 phases of his project, ndio maana kaomba msamaha kwa kuwatengenezea mashabiki matarajio ambayo amefeli kuyafikia, hii haimaaniahi kuwa hatofika, by the right time the project will go bang. Yaah, we trust him, the nigga is so smart, sio kama Vipara wengine wana act like Pep wannabe. ahaaha!



daaah!!! Ila mashabiki wa arsenal mna imani asee hii imani ni kubwa mno, yani unavyosema arsenal ina project its like a new team in the league! Timu ambayo tunasema ina project ni kama Newcastle na si arsenal. Project ipi hiyo nembu tuelezee kidogo na sisi tuijue hio phase ya 4 na 5 inahusisha nini na archivement zake ni zipi??