Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,838
- 57,475
Kwa kweli Mkuu, shida ya Vijana wengi hawajui kuwa na subira. Ndiyo maana wengi wamehamia City kwaajili ya kushindwa kuwa wavumilivu na Project za Arsenal100%% wachache wanaelewa hili,
Kwa kweli Mkuu, shida ya Vijana wengi hawajui kuwa na subira. Ndiyo maana wengi wamehamia City kwaajili ya kushindwa kuwa wavumilivu na Project za Arsenal100%% wachache wanaelewa hili,
Daaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.
Sio Newcastle, hata Arsenal graph yake imepanda kwa kuangalia Arsenal ya misimu minne iliyopita na sasa.
Tulikuwa tunalalamika kutocheza Uefa Champions league misimu zaidi ya 7 lakini mwaka huu tumepata hiyo nafasi, kwanini usiseme ni mfanikio pia.
Tulikuwa tunacheza Mpira hata haueleweki Enzi za Unai Emery lakini leo hii tunacheza mpira ambao kila mtu anavutiwa nao.
Arsenal ni kama Imani kwa sisi wengine, wacha ituue but the future looks so bright![]()


unaongelea future ipi ngoja nikusaidie kidogo Unadhani wenye kutoa pesa hawajui walifanyalo?The future look bright??unaongelea future ipi ngoja nikusaidie kidogo
Fabregas amekuja arsenal akiwa only 15 , van persie akiwa 20 clichy 22 , sendoros 21 , helb 23 hii ilikua kama future ya arsenal mpaka wanaondoka wame archive kitu gani ?
Ikaja era nyingine ya wilshere miaka (18) , walcott (18) , bendtner (19 ), song (19) , aroon ramsey (18 ), gibbs 18, nasri 21, adebayor 22, diaby 20 carlos vella 17, arshavin (25) , Rosicky (26) eduardo (25)
Ikaja era nyingine podoski (27), vermalen (25), sanogo (18),carzola(27),bellerin (18) , gnabry(18), paulista (18) campell(23) martinez(24) willock (18) kolasnac (24),laccazete(26), xhaka (25), niles(20) , chambers(22) holding(22) , coquelin (26).
Hawa wote wamecheza different times and the same end in terms of trophies, (null) . The future was it bright??
Hakuna project iliyofanikiwa for almost 20 years . Hata wakina saka , martinelli ,saliba na ode wote wataondoka null kama wengine hapo juu.
Hivi mnabishana . Lakini mnajua maana halisi ya mafanikio.
Mafanikio ni kufikia malengo yako. Hiyo ndo maana halisi ya mafanikio. Kwa miaka 30 ya liverpool kuukosa ubingwa wa epl je haikuwahi kupitia haya.? Wamepita makocha wangapi liverpool na wakawa wanasheherekea kuingia top 4 . Wamepita makocha wangapi liverpool na wakashindwa kubeba epl? Klop amedumu muda gani liverpool mpk anabeba epl.?
Kama mtu anataka kubishana. Tubishane kwa hoja kwamba kwa nini anasema timu yake imefanikiwa msimu huu na kwa nini arsenal haijafanikiwa msimu huu.?
Nipo nawasubir hapa... niwape nondo.
Unadhani wenye kutoa pesa hawajui walifanyalo?
After all hii ni hiari ya mtu kushabikia ama la, ndiyo maana wapo Mashabiki walikuwa Arsenal ila sasa wanashabikia Man City, Chelsea n.k
Ila naamini the future is so promising ukilinganisha na miaka 8 iliyopita


mimi nakutajia the future was not bright for 20 years !!! Wewe unaniambia the future will be bright kwa kuangalia miaka 8 





Unajua tafsiri ya neno Fact mkuu?Daaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.
Jambo moja nna hakika nalo, wewe ni mmoja wa mashabiki wa arsenal aliyeteseka,anateseka na atazidi kuteseka kwa sababu unaipenda arsenal deep down.Anyway its like a trauma and yes you are already traped.Sawa mkuumimi nakutajia the future was not bright for 20 years !!! Wewe unaniambia the future will be bright kwa kuangalia miaka 8
![]()
Mwamba unajua kujaza saaana watu upepo! Mwache utamuuaDaaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.

Ungependa kuona kumbukumbu za udhalilishaji mkuu?Kule mnaenda kuidhalilisha tu Epl kwa vipigo vya mbwa koko, pona yenu ni mtolewe kwenye hatua za makundi. View attachment 2637849
Endelea kumjaza mkuuDaaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.
Jambo moja nna hakika nalo, wewe ni mmoja wa mashabiki wa arsenal aliyeteseka,anateseka na atazidi kuteseka kwa sababu unaipenda arsenal deep down.Anyway its like a trauma and yes you are already traped.
Hahaaaa.nna uhakika huna uwezo wa kukosa kuangalia mechi hata moja ya arsenal.deeply addicted .show your love,enjoy the thriller of you team no matter how it is.
Kuikosoa kwa maneno magumu,matusi,mizaha,hamaki na mengine kwa wataaalamu wa saikolojia tunasema ni trial of self healing.
Mkuu arsenal dope imekushika,imekuwa jinamiz maana unaiota,imekuwa kama maji maana you can't escape its cage.pole hakuna wa kukusaidia.
Be positive.jaribu kusoma kitabu kinaitwa 'the power of positive thinking'
Hii Id yako ni mpya.sio kosa kubadili Id.naheshimu saaaaana mchango wako tangu last year wakati wa usajili hata sasa.wazee wa Cuba huyu ni mwenzetu ila amebadili vazi akasahau rangi ya ngozi yake.
Another season,new thrill we love arsenal .

unahisi nimebadili id mkuu, id nimeanza kutumia toka 2016 huko zamani nilikua just as a guest jamii forum.


arsenal kashawahi kufanya transfer gani ya maana pepe sio
