Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.

Thanks mkuu. Hawa arsenal fans wengine wanakuwa na mapenzi yaliyopitiliza na timu kuliko uhalisia wa mambo yalivyo tunawaonyesha mpaka mifano lakini wamezama ndani ya penzi la losers!! . Mtu anakwambia arsenal ina project unamuuliza project gani na ni ya miaka mingap? Miaka 20 with different players coaches na hata staff bado end product ni ile ile for 20 years hio project wanayosema ni ya miaka mingapi?.
 
Hivi mnabishana . Lakini mnajua maana halisi ya mafanikio.
Mafanikio ni kufikia malengo yako. Hiyo ndo maana halisi ya mafanikio. Kwa miaka 30 ya liverpool kuukosa ubingwa wa epl je haikuwahi kupitia haya.? Wamepita makocha wangapi liverpool na wakawa wanasheherekea kuingia top 4 . Wamepita makocha wangapi liverpool na wakashindwa kubeba epl? Klop amedumu muda gani liverpool mpk anabeba epl.?
Kama mtu anataka kubishana. Tubishane kwa hoja kwamba kwa nini anasema timu yake imefanikiwa msimu huu na kwa nini arsenal haijafanikiwa msimu huu.?
Nipo nawasubir hapa... niwape nondo.
 
Sio Newcastle, hata Arsenal graph yake imepanda kwa kuangalia Arsenal ya misimu minne iliyopita na sasa.

Tulikuwa tunalalamika kutocheza Uefa Champions league misimu zaidi ya 7 lakini mwaka huu tumepata hiyo nafasi, kwanini usiseme ni mfanikio pia.

Tulikuwa tunacheza Mpira hata haueleweki Enzi za Unai Emery lakini leo hii tunacheza mpira ambao kila mtu anavutiwa nao.

Arsenal ni kama Imani kwa sisi wengine, wacha ituue but the future looks so bright

The future look bright?? unaongelea future ipi ngoja nikusaidie kidogo
Fabregas amekuja arsenal akiwa only 15 , van persie akiwa 20 clichy 22 , sendoros 21 , helb 23 hii ilikua kama future ya arsenal mpaka wanaondoka wame archive kitu gani ?
Ikaja era nyingine ya wilshere miaka (18) , walcott (18) , bendtner (19 ), song (19) , aroon ramsey (18 ), gibbs 18, nasri 21, adebayor 22, diaby 20 carlos vella 17, arshavin (25) , Rosicky (26) eduardo (25)

Ikaja era nyingine podoski (27), vermalen (25), sanogo (18),carzola(27),bellerin (18) , gnabry(18), paulista (18) campell(23) martinez(24) willock (18) kolasnac (24),laccazete(26), xhaka (25), niles(20) , chambers(22) holding(22) , coquelin (26).
Hawa wote wamecheza different times and the same end in terms of trophies, (null) . The future was it bright??
Hakuna project iliyofanikiwa for almost 20 years . Hata wakina saka , martinelli ,saliba na ode wote wataondoka null kama wengine hapo juu.
 
The future look bright?? unaongelea future ipi ngoja nikusaidie kidogo
Fabregas amekuja arsenal akiwa only 15 , van persie akiwa 20 clichy 22 , sendoros 21 , helb 23 hii ilikua kama future ya arsenal mpaka wanaondoka wame archive kitu gani ?
Ikaja era nyingine ya wilshere miaka (18) , walcott (18) , bendtner (19 ), song (19) , aroon ramsey (18 ), gibbs 18, nasri 21, adebayor 22, diaby 20 carlos vella 17, arshavin (25) , Rosicky (26) eduardo (25)

Ikaja era nyingine podoski (27), vermalen (25), sanogo (18),carzola(27),bellerin (18) , gnabry(18), paulista (18) campell(23) martinez(24) willock (18) kolasnac (24),laccazete(26), xhaka (25), niles(20) , chambers(22) holding(22) , coquelin (26).
Hawa wote wamecheza different times and the same end in terms of trophies, (null) . The future was it bright??
Hakuna project iliyofanikiwa for almost 20 years . Hata wakina saka , martinelli ,saliba na ode wote wataondoka null kama wengine hapo juu.
Unadhani wenye kutoa pesa hawajui walifanyalo?

After all hii ni hiari ya mtu kushabikia ama la, ndiyo maana wapo Mashabiki walikuwa Arsenal ila sasa wanashabikia Man City, Chelsea n.k

Ila naamini the future is so promising ukilinganisha na miaka 8 iliyopita
 
Hivi mnabishana . Lakini mnajua maana halisi ya mafanikio.
Mafanikio ni kufikia malengo yako. Hiyo ndo maana halisi ya mafanikio. Kwa miaka 30 ya liverpool kuukosa ubingwa wa epl je haikuwahi kupitia haya.? Wamepita makocha wangapi liverpool na wakawa wanasheherekea kuingia top 4 . Wamepita makocha wangapi liverpool na wakashindwa kubeba epl? Klop amedumu muda gani liverpool mpk anabeba epl.?
Kama mtu anataka kubishana. Tubishane kwa hoja kwamba kwa nini anasema timu yake imefanikiwa msimu huu na kwa nini arsenal haijafanikiwa msimu huu.?
Nipo nawasubir hapa... niwape nondo.

Liverpool unaifananisha na arsenal kwa lipi sasa nipe range ya miaka au nikupe mimi tuanzie 2005 then tuone archivement zao
Liverpool 2005 uefa champion , 2017/2018 uefa finalist, 2018/2019 uefa champion ,2021/2022 finalist , 2019 fifa word club cup champion!! Bado 2019/2020 EPL champion .
Kwa miaka 18 Liverpool ana mafanikio makubwa sana haya nitajie arsenal kwa miaka hiyo 18 ana mafanikio gani ? Ndani ya miaka 18 Liverpool kachukua kila kitu kinachotakiwa kuchukuliwa na timu as club, kachukua uefa , fifa club cup, ligi na fa cup .
Tutajie arsenal kwa miaka 18 hiyo ana nini cha maana ?
 
Unadhani wenye kutoa pesa hawajui walifanyalo?

After all hii ni hiari ya mtu kushabikia ama la, ndiyo maana wapo Mashabiki walikuwa Arsenal ila sasa wanashabikia Man City, Chelsea n.k

Ila naamini the future is so promising ukilinganisha na miaka 8 iliyopita

Sawa mkuu mimi nakutajia the future was not bright for 20 years !!! Wewe unaniambia the future will be bright kwa kuangalia miaka 8
 
Sawa mkuu mimi nakutajia the future was not bright for 20 years !!! Wewe unaniambia the future will be bright kwa kuangalia miaka 8
Jambo moja nna hakika nalo, wewe ni mmoja wa mashabiki wa arsenal aliyeteseka,anateseka na atazidi kuteseka kwa sababu unaipenda arsenal deep down.Anyway its like a trauma and yes you are already traped.

Hahaaaa.nna uhakika huna uwezo wa kukosa kuangalia mechi hata moja ya arsenal.deeply addicted .show your love,enjoy the thriller of you team no matter how it is.

Kuikosoa kwa maneno magumu,matusi,mizaha,hamaki na mengine kwa wataaalamu wa saikolojia tunasema ni trial of self healing.

Mkuu arsenal dope imekushika,imekuwa jinamiz maana unaiota,imekuwa kama maji maana you can't escape its cage.pole hakuna wa kukusaidia.

Be positive.jaribu kusoma kitabu kinaitwa 'the power of positive thinking'

Hii Id yako ni mpya.sio kosa kubadili Id.naheshimu saaaaana mchango wako tangu last year wakati wa usajili hata sasa.wazee wa Cuba huyu ni mwenzetu ila amebadili vazi akasahau rangi ya ngozi yake.

Another season,new thrill we love arsenal .
 
Daaahhh yaani huyu Labyrinth 84 anatembea na Facts mwanzo mwisho, anakupa evidence na vivid example za kutosha yaani hata ukiwa unamletea ubishi unaihisi nafsi yako mwenyewe inakusuta.
Hongera sana mkuu Labyrinth 84 dunia nzima inasimama na wewe dhidi ya Arsenyani.
Mwamba unajua kujaza saaana watu upepo! Mwache utamuua
 
Mechi ya leo haina faida kwetu wala kwa Wolves.

Entertaining games zitakua za kuwaangalia Leicester, Everton na Leeds wanafanya nini kujinasua kushuka daraja.

We had a nice run that was later on botched by our very own board na players. Mashabiki tulikua tunataka timu iende all the way board ikahold back kujaza sehemu muhimu.

Players wakakumbwa na ugonjwa wa Arsenal. Na madrama yakaanzia hapo. Huu msimu tatizo letu halikua big teams ila ilikua timu yoyote itakayocheza long balls, ikapaki basi na kua na pacey forwards.

Arteta anamtaka Fresneda. Muwazie Hakimi kwa huyu Fresneda, lakini ana potential ya kua world class so Bayern, Madrid, Barca washaingia pia kwa huyu player. Liva kutakua UEFA kumemminya kumpata Bellingham. Fresneda anaweza tafuta kisingizio kingine akiamua.

Anahitajika Zubimendi, wazia Partey but younger. Ila Zubimendi ndoto yake ni kwenda Barca, na simlaumu mspanish kucheza Barca au Madrid ni ndoto nzuri kama mjerumani na Bayern.

Xhaka anaondoka dirisha hili. Laklini Fabio Vieira na Lokonga wote hakuna aliyemature, means sokoni tutahitaji viungo wawili. Wingers, mabeki na ST. Tuliwahi husishwa na Rice, kwangu mimi bei ya Rice na kiwango chake naona ni tabia za waingereza namuona wa kawaida.

Either way, bado mapema.kujitabiria msimu ujao nini kitakua dirisha la usajili litaamua cha kusema.

Pia uzi wa away wa msimu huu wa Arsenal ulikua wa moto sana. Moto kama pasi
 
Nahisi timu nyingi zitakua zinamfuata Ward Prowse ili awape uzoefu wake.
 
Everton atafanya zibaki clubs tano tu ambazo hazijawahi shuka daraja tangu kuanza kwa mfumo huu mwaka 1992.
 
Jambo moja nna hakika nalo, wewe ni mmoja wa mashabiki wa arsenal aliyeteseka,anateseka na atazidi kuteseka kwa sababu unaipenda arsenal deep down.Anyway its like a trauma and yes you are already traped.

Hahaaaa.nna uhakika huna uwezo wa kukosa kuangalia mechi hata moja ya arsenal.deeply addicted .show your love,enjoy the thriller of you team no matter how it is.

Kuikosoa kwa maneno magumu,matusi,mizaha,hamaki na mengine kwa wataaalamu wa saikolojia tunasema ni trial of self healing.

Mkuu arsenal dope imekushika,imekuwa jinamiz maana unaiota,imekuwa kama maji maana you can't escape its cage.pole hakuna wa kukusaidia.

Be positive.jaribu kusoma kitabu kinaitwa 'the power of positive thinking'

Hii Id yako ni mpya.sio kosa kubadili Id.naheshimu saaaaana mchango wako tangu last year wakati wa usajili hata sasa.wazee wa Cuba huyu ni mwenzetu ila amebadili vazi akasahau rangi ya ngozi yake.

Another season,new thrill we love arsenal .

unahisi nimebadili id mkuu, id nimeanza kutumia toka 2016 huko zamani nilikua just as a guest jamii forum.
Siwezi kuendelea kuteseka bro mateso nimeshayakimbia ila kusema niliteseka its true arsenal imenitesa for 20 years ila sijui wewe itakutesa for how long
Niko katika hatua za mwisho kabisa kufanya right decision baada ya kufanya wrong decision kwa miaka 20.
Miaka 20 imetosha kuangalia game za arsenal atleast now nitaangalia game za Newcastle & man city na si the bottlers!! Endelea kuteseka tukutane tena next season!!
Now ni transfers njoo ushuhudie another failure ya arsenal maana hata kwenye transfer mnakuwa vichekesho!! Tetesi kibao mtashangaa then end result watakuja kina takuma na miyaichi arsenal kashawahi kufanya transfer gani ya maana pepe sio
 
Kuna mwaka Watford walitufunga kapteni wao akatoa shombo. Next season wakashuka daraja.

Naona kwa Everton inataka kua fasta.

Why?
 
Back
Top Bottom