Aje tuIván Fresneda has a “lucrative” offer on the table from Arsenal. Reports, @BILD.
Kama deal likikamilika kuna uwezekano mkubwa benny White kurudi kwenye nafasi yake ya ulinzi wa kati.
Nimekuuliza big 6 yupi kachukua point 6 kwa man city..?
Pumzika wew arsenal timu yako tu...Kwa brentford!!
Ukitoa man city ni timu gani nyingine imechukua point 6 kwa arsenal katika hizo big six!
Nakuonyesha arsenal kafeli kuzifunga hizi timu ambazo sio threat at all hicho ndicho kilichomkosesha ubingwa !
Kwa soton arsenal kachukua point 2 kumbuka hio ni relegated team, westham ni timu iliyokuwa inapambana kutoshuka daraja pia arsenal kashindwa kupata ushindi, Nottingham forest nayo ilikua katika mpambano wa kutoshuka daraja nayo arsenal kashindwa kuchukua point 6 kwake njoo kwa everton nayo ilikua ipo katika relegation battle pia Arsenal kashindwa kuchukua point 6 . Huwezi kulinganisha na man city team zote zilizomfunga ni nzuriii na ni top 6 or 8 !!!
Huna hoja hapo kusema kilichomkosesha ubingwa arsenal ni kushindwa kuchukua point 6 kwa big six
Tony Adams: "So if Arsenal want to push on from here, they have to sign four big, experienced leaders this summer.
"Declan Rice could certainly be one of those, but if I’m going to spend £100million on one player, I want a Jack Grealish type of player who is going to give me goals and assists, not a holding midfielder." [@TheSunFootball]


. Labda teacher wakuwafundisha how to win the last 10 games !!
Yan jamaa anatuwaza sanaa Man U kuliko Arsenal yake...marehemu tayari amefufuka tuko nae unyumbuni anabishania bei ya Antony pamoja 7hag kua ni kocha wa mchongo.
Mkuu hamis77 misukule wenzako wanakusubiria huku uwape mchanganuo kamili jinsi mtakavyo chukua Uefa msimu ujao. View attachment 2640232
Kiwango kibovu cha key player kwenye game za mwisho ndio sababu basi hakuna kingine kakaArsenal pale hamna mchezaji kama grealish kweli?? A player that gives goals and assists let see this sesson
Grealish goals 5 assist 7
Odergard goals 15 assist7
Martinell goals 15 assist 5
Saka goals 14 assist 11
Jesus goals 11 assist 5
Xhaka goals 7 assist 7
Trossard goals 8 assist 12
Arsenal mpaka sasa sijuii wanataka nini. Labda teacher wakuwafundisha how to win the last 10 games !!
.Kiwango kibovu cha key player kwenye game za mwisho ndio sababu basi hakuna kingine kaka.
Ramsdale
Partey
Saka
Jesus
.. hapa umeongea cha maana sana, ubovu wa viwango vyao!!! Sijuiii pia ni uoga wa arteta kuna game kabisa unaona partey hakutakiwa kuanza na jesus pia hata saka alitakiwa apumzishwe .
formation ya trossard martineli na saka ilikubali sana . Si kila game alitakiwa aanze partey some games angeanza Jorginho ana experience ya kutosha na epl akaanzishwa viera game na soton!! Nelson ndo haamini kabisa!!!Buyern na chealse wametia mguu hapa,, deal hili lisha kua gumuThings you love to seeView attachment 2643004
Buyern hana uwezo huo,Buyern na chealse wametia mguu hapa,, deal hili lisha kua gumu
Arteta has identified Rice as the Xhaka replacement.