Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Kwenye msafara wa nguchiro hata
pimbi wapo. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


...safari hii jamaa wameanza visingizio na mapeeeema, hhha hhha hhha!...na bado
tunakuja na kelele mpya msimu huu...Halafu kuja na Id mbili mbili humu hatutaki,....
tunajuana wenyewe waarabu wa Pemba!

Roll Call na ianze sasa!
 

Man City ni jirani zetu na lakini sio size yetu,Chicha kashawafunga Chelsea,Liverpool bado nyie tu msubirini
 


si kweli .. usajili wetu wa kwanza ni beki wa charton A. mbona mnamsahau! au coz le prof. alitumia vijisent vichache ...! umewasajili vijana wawili kutoka barca youth team ...

so total wapya emarates ni 4 !.. lakini usajili wa maana kwa maono yangu so far ni 1 tu! gervinho ... mbaye tulimuona kwe action! na yule aliyetoka charton A. amenza vibaya kwa kujifunga goli moja tamu saaana!

nasubiri kuwaona hawa madogo wawili toka barca youth ...
 
Tunawatakia all the best mtetee kombe lenu la Emirates
 
Naona kumekucha wakuu, safi sanaa mie niko busy namsaidia wajina ku-negotiate manake kuna watu wamechafua market kinoma.wao wakitajiwa bei tu wanakurupuka na kumwaga hela.Tuwe wavumilivu wakuu mambo yatakaa vizuri kila la kheri kwenye shughuli zenu za kila siku ,pamoja.
 
tupo pamoja katika kuitetea klabu yenye soka tamu duniani kote haijapata kutokea-Arsenal
 
Hii safu yetu ya ushambuliaji naona imekaa vizuri,
Ngoja tuone Leo vijana wetu watafanya nini!
 
Sidhani kama Arsenal inaweza kuchukua kombe ikiwa na wachezaji kama Almunia,Diaby,Eboue,Rosisky,Chamakh,hivi mmeshapata beki wa kushoto? au mnamtegemea Gibbs
 
List la leo watakaoanzaFabianski,traore,djouro,koscienly,jenkinson,wilshere,frimpong,nasri,gervinho,arshavin,van persie.
 
List la leo watakaoanzaFabianski,traore,djouro,koscienly,jenkinson,wilshere,frimpong,nasri,gervinho,arshavin,van persie.
Foward imekaa vizuri, but nipo worried na hiyo safu ya Ulinzi! Kwanini TV5 hajaanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…