Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimeenda UEFA...Nasikia mwaka huu na nyie mmeenda uefa.

nileteeni aseno
nileteeni aseno
nileteeni aseno
nileteeni aseno
Screenshot_20230525_225222_All%20Goals.jpg
 
Kitu kimoja watu wanachokosea ni kutojua Arsenal tulianza msimu huku 1st objective ni kua ndani ya top 4.

Angalia transfers tulizofanya.

Timu ambayo ilikosa top four msimu uliopita kisa MId msimu uliofuata alienda na Mid gani?
 
Kisha tukawa on the edge ya kujiimarisha kuchukua ubingwa kwa kuwaleta Mudryki na Caicedo.

Instead akaletwa nani?

Even the board didnt believe in the fight.

Is that a good thing? No
 
We had an advantage ila hatukua na bodi iliyotaka kupress advantage yetu

Ni kama waliona kama 1st objective tushaifikia ya nini tusumbuke. Sasa ishu inakuja next season nini kitakua priority? PL title au?

Notice plan ilikua ni kushiriki CL kwa misimu 2 kisha wa tatu tunyanyue kombe. Difficult plan kiukweli

But ndiyo kocha aliwauzia bodi
 
Sasa wapinzani, ambao walisema tutashuka daraja, acts surprised kushinda sisi tulioamini project iliyoonekana haiwezekani.

Sisi tuna hasira kuzidi wao.

Hii show haiwahusu. We are good hata hatujashangilia kuingia top four
 
ANAFUNGWA CHELSEA ANAUMIA LIVERPOOL NA ARSENANE

Screenshot_20230525_234243_All%20Goals.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230525_233749_All%20Goals.jpg
    Screenshot_20230525_233749_All%20Goals.jpg
    43.6 KB · Views: 14
Yani kweli arsenyani mmepoteana yani uzi wenu mpya umetoka lakini hata kuja kupost hapa hamuwezi
Kiukwl swala ilo hata mm limeniumiz sana siamin kwmb Hawa Gunners wanaweza kujificha namna iyo hata kuleta uzi wao mzr wa kimataifa wameshindwa.

Token wana Gunners msione aibu mambo ya ligi yameisha.. Tumewasamehe tunajua zilikua sio akil zenu timamu mlikua mnaongea tu bila kujua mlisemalo.. Token njoon tuongee khs msimu ujao.
 
Kitu kimoja watu wanachokosea ni kutojua Arsenal tulianza msimu huku 1st objective ni kua ndani ya top 4.

Angalia transfers tulizofanya.

Timu ambayo ilikosa top four msimu uliopita kisa MId msimu uliofuata alienda na Mid gani?

Hatupingi top 4 ilikua first objective, japo hata huko uefa mnaenda kushiriki hamna malengo yoyote.
Kama arsenal angekuwa postion ya 2 for a long time or wangekuwa wanapokezana na man city kukaa juu baadhi ya week tungesema “ yeah” ni mwaka mzuri kwa arsenal ila kukaa siku 248 on top na still ukawa umemzidi mpinzan wako 8 points na game zimebaki 9 unacheza game sunday to sunday bado unachoma kwa timu ambazo zimecheza midweek zaidi ya mara moja!! Westham & soton!! trust me itachukua miaka mingine 20 to be in that position again!!! Na kukaa huko siku 248 kumethibitisha Arsenal ni loser always and forever !!
 
Hatupingi top 4 ilikua first objective, japo hata huko uefa mnaenda kushiriki hamna malengo yoyote.
Kama arsenal angekuwa postion ya 2 for a long time or wangekuwa wanapokezana na man city kukaa juu baadhi ya week tungesema “ yeah” ni mwaka mzuri kwa arsenal ila kukaa siku 248 on top na still ukawa umemzidi mpinzan wako 8 points na game zimebaki 9 unacheza game sunday to sunday bado unachoma kwa timu ambazo zimecheza midweek zaidi ya mara moja!! Westham & soton!! trust me itachukua miaka mingine 20 to be in that position again!!! Na kukaa huko siku 248 kumethibitisha Arsenal ni loser always and forever !!
Wew timu yako ilikua wapi kuka iyo position,, si ndio nyie mlitutabilia hat hiyo top four hatutoigusa,

Acheni vihele hele mkae kwa kutulia,

Njoo tena msimu ujao ukiwa na akili Kama hizi tena Kama wenzako.
 
Wew timu yako ilikua wapi kuka iyo position,, si ndio nyie mlitutabilia hat hiyo top four hatutoigusa,

Acheni vihele hele mkae kwa kutulia,

Njoo tena msimu ujao ukiwa na akili Kama hizi tena Kama wenzako.

Timu yangu kwa wakati huo ndo ilikua top of the table kwa hizo siku248 after that nikaona kabisa” hapana” hamna timu hapa kuna vichekesho, for 20 years nilikua kichekesho nikasanuka nikakimbiaaa!! Tupe matarajio ya arsenal msimu ujao . Baada ya haya yote kuna mtu anaamini arsenal itachukua epl kweliii . Mashabiki wa arsenal ni vichaa kwelii, huko uefa mnashiriki au unaamini mtabeba uefa au malengo ni kufika robo fainali maana mara ya mwisho kufika robo fainali ilikua 2008
 
Timu yangu kwa wakati huo ndo ilikua top of the table kwa hizo siku248 after that nikaona kabisa” hapana” hamna timu hapa kuna vichekesho, for 20 years nilikua kichekesho nikasanuka nikakimbiaaa!! Tupe matarajio ya arsenal msimu ujao . Baada ya haya yote kuna mtu anaamini arsenal itachukua epl kweliii . Mashabiki wa arsenal ni vichaa kwelii, huko uefa mnashiriki au unaamini mtabeba uefa au malengo ni kufika robo fainali maana mara ya mwisho kufika robo fainali ilikua 2008
Kwahio umetimukiaa wapi mkuu??

Vip kuhusu msimu huu ulijua hata iyo top four tungeingia!??
 
Uzi wa msimu kesho huo, uefa foundation, Mighty Arsenal the invincibles. is yours Gold?View attachment 2636761View attachment 2636762

unaongelea kombe ambalo hawa wote walikua hawajazaliwa halland, foden, mbappe , saka, martinelli, camavinga,odegard, bellingham pedri, na Gavi. Ukitoa wachezaji wa arsenal hapo wengi wameshabeba makombe ya ligi zao lakini arsenal bado null!!. Akili za arsenal ziliishia 2003!!! Daah kuwa fan wa arsenal ni kichekesho mpaka nashangaa niliwezaje kuwa mpumbavu for 20 years
 
Kwahio umetimukiaa wapi mkuu??

Vip kuhusu msimu huu ulijua hata iyo top four tungeingia!??

Kombe la Arsenal ni top 4 sio for all 20 years kombe la arsenal limekuwa nikuingia top 4 na kuna miaka kibao pia wamekosa kombe la kuingia top 4 just imagine hii timu ilivyo kichekesho halafu unakuta kuna mtu anashabikia arsenal yanii unakuwa mtu mzima lakini dogo wa miaka 16 anakudharau bro mwenye miaka 30 and kisa tu ni shabiki wa arsenal. Kama unabisha jitambulishe tu kwa watu wewe ni arsenal fan uone watu watakavyoangua vicheko . Hata wachezaji wenyewe wanaona aibu kujitambulisha ni arsenal palyer refer ben white na mac daniel
 
Msimu wa EPL ndiyo unatamatika leo, Bingwa amekuwa Manchester City akituzidi Arsenal zaidi ya alama 8.

Umekuwa ni msimu Mzuri kwa timu ukilinganisha na misimu kadhaa iliyopita.

Benchi la Ufundi limeona mapungufu, nadhani yatafanyiwa kazi. Huenda tukawa na sajiri nzuri Mwaka huu kuelekea mwenye mashindano ya Uefa Champions league na mashindano mengine tutakayo shiriki, hivyo depth ya kukosi nadhani benchi la ufundi na Wamiliki watakuwa wamelipa uzito.

Najua tumeumia na kufurahi pamoja, muhimu tunakwenda kushiriki Uefa baada ya kuikosa miaka 7 kama sio 8 iliyopita.

Nilikuwa natazama wapi tulipotoka kwa misimu ya 2019/20, 2020/21, 2021/22 na msimu wa mwaka huu kabla ya mechi za jioni.
Screenshot_20230527_160217_Chrome.jpg

Screenshot_20230527_155941_Chrome.jpg

Screenshot_20230527_155806_Chrome.jpg

Screenshot_20230527_161654_Chrome.jpg


Kama utakuwa ni mtu wa takwimu, utakubaliana nami kuwa timu imeimarika kulingana na miaka kadhaa nyuma ingawa bado kuna kazi ya kufanya.

Tukutane msimu ujao Mungu akitupa Uhai.

Once a Gunner will always be 💪
 
Back
Top Bottom