OkMechi ya kwanza Liverpool walikuja na 4-4-2
Tulikuwa tunawashambulia kwa shepu ya 3-2-5 (Tomiyasu-Partey; Xhaka-Ødegaard) tukawa tuna wa Overload kwa ratio ya 5v4
Siku za karibuni wanacheza 4-3-3 ,
This is how Arsenal play virtually every week except to an even better standard because Zinchenko will play over Tomiyasu.
It's key to note that City destroyed Liverpool last weekend playing in the same shape.
This is majorly beneficial for Arsenal & concerning for Liverpool.View attachment 2579663
Jipe moyoMkuu km huyo T.A.A alikimbizwa na mshusha sox kweli ataweza mziki wa Martinell, yule mtoto utafikir kafungwa mota miguun anavyoteleza
Sawa mkuuNilikuwa napitia Social media mbalimbali , mashabiki wengi hasa manjesta wamekaa wanatuombea mabaya wakiwa wanatembea na fixtures yetu wanadai Ni ngumu Sana hatuwezi kutoboa
Huenda tukishinda kesho tutarajie kusikia wengi wakifa kwa presha
Sawa, tutaonaMoja katika game nyepesi tunapoenda kukamilisha hii slogan Arsenal NDOO
1. Liverfool
2.chelkenge
Hizi pimbi hapo juu zilipocheza wenyewe kwa wenyewe ile juzi, Hadi nikawa najiuliza Moto wetu wataustahimili kweli!
Kama demu ashakula Sana nauli weekend yenye kimvua mvua ndio anajichanganya kukutana na muhuni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Game ngumu
1.brighton
2. Newcastle
Game 50/50
1. Manshit
Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Nyumbu YUROPA
Ubingwa upi sasa??Hizi game za kuelekea ubingwa, inabid zichezwa kama fainali vile.
Umakini uliotukuka, kuepuka makosa ya hovyo na kutumia nafasi kwa uzuri kbs.
Tunaanza sherehe za ubingwa leo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa. Hua najitahidi kujudge mchezaji kwa ninavyomuona siyo kwa ninavyotaka awe.
Ikiwa Jorginho hawezi kukaba hata umuandikeje hatoanza kukaba leo
Hahaha dah watetezi wake mnajichanganya sasaJorginho kazi yake sio kukaba kazi yake ni kuupiga mwingi.
U mean, nje ya Arsenal mchezaji aina ya Jorginho ni Rice pekee???Jorginho kwa mechi chache alizocheza kasharecord man of the match performance think 2/3 times. Hii maana yake nini? Hii timu imeundwa kwa mchezaji aina yake, not the other way around.
Kwan timu gan haikufungulia busta??? Kbl ya ligi kuanza hata kwenye 6 bora hamkutufikilia,Arsenal huu ndo ulikuwa msimu wenu,,,,poleni kuja kushinda tena PL sio Leo wala kesho!
Next season kuna timu zitafungulia busta zote, this time ilikuwa kitonga tu
Hahaha dah watetezi wake mnajichanganya sasa
Hahaha nacheka mnavyojichanganyawatetezi? Jorginho hahitaji watetezi, anaehitaji watetezi ni kujana wako Partey.
Wapo wengi brother japo Rice ni bora kuliko, kuna Bayern, City, Arsenal zinahusishwa na kuhitaji huduma yake.U mean, nje ya Arsenal mchezaji aina ya Jorginho ni Rice pekee???
Picha la kutisha hili hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116]taito kunitenda mnawakumbuka awa ndo waliwafanya muisi uefa kama n kombe la majasusi wa CIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2616114