Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa Mimi na wewe nani kijana?, 2015 me nipo 4m3, wewe umeanza kushabikia mpira lini??
2015 upo form three , Sasa form three na 5 utofauti si miaka 2 ,wewe ni rika letu ,,,Kwa haraka haraka Kwa miaka hio mtu akiwa form three means ulikuwa na miaka 17/18 means umezaliwa mwaka 1997/1998 .....

Sasa Kwa mtoto ambaye kazaliwa mwaka 1998 huwezi kushabikia arsenal ,wewe utakuwa imeanza kuangalia football mwaka 2010 unamiaka 12 ,kutokana na poor technololgy mwaka 2000-2007 ulikuwa Dogo mna huwezi cheki mpira,access ilikuwa poor ,hata vijijin umeme ulikuwa Kwa manati ,mpira mingi ilikuwa ya usiku na ni wakubwa tu walikuwa wanacheki wewe mtoto ni either movie au ukalale ,tofauti na Leo hata mtoto wa miaka 5 anamjua mayele ,na ndio Hawa viraka wa arsenal unao waona walipokuwa wanashabikia arsenal 1998-2003 ndio fans wa arsenal wamerise ...

Mim nimeanza mpira kuangalia 2010 namaliza la Saba,maana nilikuwa mtu wa movie home ,na ndio ulikuwa umri wa mtu kuweza kuangalia mpira Kwa uhuru ,means home hawakugasi Tena ,unakuwa na access ya kurudi home hata usiku maana sio mtoto Tena ...

Sasa wewe mtoto wa 98 unashabikia arsenal Kwa sababu ipi hasa maana Toka unazaliwa na hapa ulipo hakuna sababu ya kuishabikia arsenal,means miaka yote ya kuangalia mpira hujawahi kutana na arsenal inayojitambua ,labda kama umefuata upepo ,bandela fata upepo ...maana Kwa mtu ambaye anashabikia mpira Kwa kuangalia ,Kwa miaka yako huwezi shabikia arsenal ,labda Chelsea ,man UTD au man city .....
 
Hii show mtuachie sie tuliyeamini toka pre season Arsenal anagombea ubingwa

Ila majority wakasema manjesta ndio taito contender


Kwahiyo hata Sasa tunahubiri ,City anaenda kufa kwake mapema Sana akikaza draw


Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa imebaki

Kwasasa subiria WIN 7 mfululizo
Chambuzi la dunia
 
Mkuu! Nimekulia DSM, nimeanza kuipenda Arsenal baada ya kumpiga Man U 2-1, goli la Baptista, plus mpira mwingi, enzi hizo Jens Lehman kipa, ukimrudishia mpira kwa pass ya juu juu, anakutulizia kifuani, ilikuwa kati ya 2005 au 2006. Washkaji wengine waliamua kushabikia Man U kwasababu ya chenga za Ronaldo.

Huku mtaani tangu tupo madogo janja, Kuna Mashabiki wa Man U, na Arsenal alafu Chelsea kidogo, na liver wa kuhesabu. In short ukubali wewe ni Glory hunter
Huwezi shabikia timu Kwa kufunga mechi Moja acha uongoo mzee ....

Mim man city nimeishabikia Toka 2010 ,mim nimeishabikia mpira Kwa kuangalia sio kufuata upepo wa watu ...

2005 ulikuwa na miaka 7/8 means ulikuwa upo darasa la pili ,embu nambie mtoto wa darasa la kwanza enzi hizo na kuangalia mpira wa ulaya ,access ya kutazama na kujua kuchambua hili na Lile ....

Narudia Tena mtoto wa darasa la kwanza Kwa miaka ya 2005 kuangalia mpira wa ulaya kiufundi na kiuchambuzi hata kama dsm kulikuwa na access ya kuangalia mpira kirahisi sio kama saizi ,huo ni uongooo ...

Kwa Sasa mtoto wa darasa la kwanza kuangalia mpira wa ulaya it's okay ,maana Kuna access mbali mbali ...

Enzi hizo 2005 na dsm yaani stend ya mkoa Bado iko kule mnazi mmoja

Acha kutufanya sisi wajinga Dogo ,wewe inabidi utuambia ushabiki wako wa arsenal umeanza lini ? ,Na Kwa sababu gani .....
 
Nimeanza kushabikia MANCHESTER United kwa sababu la shoti la Yule half Albino paulo Scholz alilowafunga Barca nusu fainali
Then fainali ya UEFA champions league time ambayo MANCHESTER United anamdundika Chelsea kwenye penati nikahamia Chelsea baada ya kuona ina weusi wengi nilikuwa najua ni watanzania mwaka 2008 hiyo

Then turudi nyuma kidogo nikawa shabiki wa Liverpool time wanapiga comeback ya goli 3 dhidi ya AC-milan iliyokuwa na manguli kama
Dida,cafu,Paulo maldin,jaap stam,nesta
Kaka,pirlo,seedof,Gattuso,crespo na shervshenko

Mwaka 2007 nikawa shabiki wa AC-MILAN mechi ambayo philipo Inzaghi aliwanyanyasa Liverpool saana
 
Nimeanza kushabikia MANCHESTER United kwa sababu la shoti la Yule half Albino paulo Scholz alilowafunga Barca nusu fainali
Then fainali ya UEFA champions league time ambayo MANCHESTER United anamdundika Chelsea kwenye penati nikahamia Chelsea baada ya kuona ina weusi wengi nilikuwa najua ni watanzania mwaka 2008 hiyo

Then turudi nyuma kidogo nikawa shabiki wa Liverpool time wanapiga comeback ya goli 3 dhidi ya AC-milan iliyokuwa na manguli kama
Dida,cafu,Paulo maldin,jaap stam,nesta
Kaka,pirlo,seedof,Gattuso,crespo na shervshenko

Mwaka 2007 nikawa shabiki wa AC-MILAN mechi ambayo philipo Inzaghi aliwanyanyasa Liverpool saana
Halafu 2023 ukahamia Man City baada ya kuchukua treble
 
Nimeanza kushabikia MANCHESTER United kwa sababu la shoti la Yule half Albino paulo Scholz alilowafunga Barca nusu fainali
Then fainali ya UEFA champions league time ambayo MANCHESTER United anamdundika Chelsea kwenye penati nikahamia Chelsea baada ya kuona ina weusi wengi nilikuwa najua ni watanzania mwaka 2008 hiyo

Then turudi nyuma kidogo nikawa shabiki wa Liverpool time wanapiga comeback ya goli 3 dhidi ya AC-milan iliyokuwa na manguli kama
Dida,cafu,Paulo maldin,jaap stam,nesta
Kaka,pirlo,seedof,Gattuso,crespo na shervshenko

Mwaka 2007 nikawa shabiki wa AC-MILAN mechi ambayo philipo Inzaghi aliwanyanyasa Liverpool saana
Ndio maana huna team kila Uzi unafika naandika utumbo
 
Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.

Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.
 
Arsenal
Arsenal team plane bursts into flames on runway.


A plane carrying the Arsenal women’s team burst into flames on a flight back to London after a Champions League match .


Photos show flames shooting from one of the Boeing 737’s engines on the runway at Braunschweig Wolfsburg Airport in Germany.

The 7.30pm flight was due to take off just a few hours after Arsenal secured a 2-2 draw against VfL Wolfsburg in the first leg of the Champions League semi-final.

Witnesses say the plane – reportedly from a Maltese airline – was rocked by a loud bang just before it was about to take off last night.


Horrified pilots saw the blaze and quickly stopped the plane on the tarmac and evacuated the passengers.

An airport spokesman told German newspaper Bild a bird strike had caused the engine fire.

The airport official added that nobody was hurt.

The players and Arsenal staff were put up in a nearby hotel overnight and flown back to London earlier today on a replacement plane.
 
Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.

Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.

Nope, mechi city haihitaji try and error maybe another match
 
Picha la kutisha ...
FB_IMG_16824122348235681.jpg
 
Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.

Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.
Ajaribu kwenye mechi muhimu!! Man City wanafungika tatizo lenu mna mchecheto... tulieni bado mnaweza kubeba epl vizuri tu.
 
Kesho Arsenal mkipata hata Draw tu ntaamin mna Nia ya ubingwa walau kdg.. Yan hata Draw tu ntajua kwl ss hawa japo wana Nia msimu huu wafanye kitu.

#TheCityzens
JamiiForums-2000621197.jpg
 
Back
Top Bottom