

Partey Hana mfanoweWakati Jorginho yumo uwanjani sikuona kama kiungo tulikua tunashida sana, ila alivyoingia Partey nikajua kumbe dimba la kati linamilikiwa, na kuzimwa mashambulizi ya kushtukiza kupitia katikati kwa njia hii.
Partey Partey Partey![]()
Alivyoingia aliituliza game balaa ikawa kama wapo mazoeziniWakati Jorginho yumo uwanjani sikuona kama kiungo tulikua tunashida sana, ila alivyoingia Partey nikajua kumbe dimba la kati linamilikiwa, na kuzimwa mashambulizi ya kushtukiza kupitia katikati kwa njia hii.
Partey Partey Partey![]()
Alafu kuna tetesi za sterling kutua arsenal.Kilalaheri THE GUNNERS
Mko serious na kutaka ubingwa.
Tatizo lenu wabahili, tuongezeeni hata pesa kidogo basi kwa Jorgnho.
Acha kabisa leo kaichukua game yote kaiweka begani kipind cha pili,Partey Hana mfanowe
Uzuri tuna option ya Radha tofauti
Yaani Arteta kwasasa anaamua aanze Partey amalize na Gorginho au aanze Gorginho amalize na Partey
Ila Partey yule mwamba Nimemnyooshea mikono
Wakati Jorginho yumo uwanjani sikuona kama kiungo tulikua tunashida sana, ila alivyoingia Partey nikajua kumbe dimba la kati linamilikiwa, na kuzimwa mashambulizi ya kushtukiza kupitia katikati kwa njia hii.
Partey Partey Partey![]()
Zilibakia mbili tu kufikia hizi sita.Game yetu na Everton iliyoahirishwa baada ya malkia kufa siioni kwenye ratiba. Hawa inatakiwa tuwapige 6 wakija emirates.
Nahis hiki kitu ndio alikua analilia Will Jr na ndo sasa Partey amekionyesha leo baada ya kuingia uwanjani.Alivyoingia aliituliza game balaa ikawa kama wapo mazoezini
Partey dunia nyingine yuleNajua Jorginho anacheza vizuri so far lakini Partey ni kiboko!
Dk 45 alizocheza ni bora kuliko overall performance ya timu nzima katika dk 45 za 1st half.
Alivyoingia tu, automatically akawa amemu- unlock Ødegaard. Kisha aka dictate ile midfield inavyotakiwa. Ndo hapo zikaanza hizo "Positional Play".
Kila siku nasema, I wish jamaa angekua na miaka 20 and without injuries.
Sio siri I feel unsecured tukicheza na Jorginho, especially kwenye defence, tunakuwa exposed sana. Ila huyu mwamba Partey huyuu!!
Jorginho abaki kuwa chaguo la pili tu.