The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
vs nani??Let's focus on the next fixture
Hatoonekana teinaaaaa, hawa wanaitwa mashabiki plastiki.Kuna yule fans wa arsenyani bwana hamis77 mwenye yupo karibu nae amshike jamaa anaweza kujizulu leo.View attachment 2600808
That's why hatusongi mbele reason ni kuwa na die hard fans wwnye small mentality kama hizi ,hii kauli ilikuwa inanichekesha sanaTumetembeza vipigo kwa timu nyingi mpaka zimekua haters siku hizi zote zinashangilia Arsenal ikiwa inastruggle.
Nafikiri imekua haraka sisi kutengeneza haters wengi kwa mara moja huku tukiwa hatuna 100% quality. Tuwe tunabeba hoja za msingi hoja za city ana mashindano mengi ni za kimiyeyusho.
Bado tunaweza kugeuza kitu labda. We'll show great character kama tutafanya hivyo
Tatizo mnakelele na mdomo sana hafu kutwa kushinda kwenye jukwaa letu kutupigia kelele kuwa ten hag tumepigwa.Tumetembeza vipigo kwa timu nyingi mpaka zimekua haters siku hizi zote zinashangilia Arsenal ikiwa inastruggle.
Nafikiri imekua haraka sisi kutengeneza haters wengi kwa mara moja huku tukiwa hatuna 100% quality. Tuwe tunabeba hoja za msingi hoja za city ana mashindano mengi ni za kimiyeyusho.
Bado tunaweza kugeuza kitu labda. We'll show great character kama tutafanya hivyo
Tatz la hawa wenzako wengi hawatak kusikia ukwl wakiambiwa ukwl wanaona wanaonea.. Wanakuja kudnaganywa na yule jamaa wao kua hii team ni tishio sana hakuna mfano na wao wanaingia kwny mfumo.
That's why hatusongi mbele reason ni kuwa na die hard fans wwnye small mentality kama hizi ,hii kauli ilikuwa inanichekesha sanahamis77 Will Jr ndio kauli zao hizi leo Manchester City ametukojolea je Arteta anatosha kwenye position yake?reason kwenye game za pressure mean 8 za kumaliza round na kuwa winner katika last 4 games kapata 3 points pekee