In my honest opinion the best game plan could have been to win against hammers and soton. To either draw or win against liva.We still have the chance to emerge EPL title winner if we beat City and manage to win the remaining matches. This is possible, Ramsdale needs counseling, his recent blunders are discouraging his teammates and tarnishing his image to Southgate and the fans.
Naona NZI wengi wanarukaruka hapa lakini hii komenti itaendelea kusimama. Ubingwa wa EPL ni kwa Arsenal msimu huu.Arsenal atamaliza ligi akiwa na point 92.. atapoteza mechi nne na kutoka sare mechi tano. Mpaka sasa ameshapoteza mbili na sare tatu. Amebakisha sare mbili na kupoteza mbili.
Sasa kama kuna timu itaweza kuzidi hizo point basi itapewa ubingwa. Timu zinazoweza kusababisha arsenal akafungwa au sare ni Man City ugenini, fulham na liverpool zote za ugenini na brighton nyumbani.
Mashabiki wa arsenal waendelee kutembea kifua mbele.
Jiambie mwenyewe, wewe ni KONDOONaona NZI wengi wanarukaruka hapa lakini hii komenti itaendelea kusimama. Ubingwa wa EPL ni kwa Arsenal msimu huu.
Mabadiliko kidogo ni kwamba sasa hivi lazima tushinde Etihad, Newcastle, Chelsea na Brighton pamoja na zile za Nottingham na Wolves.
Arsenal.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
In my honest opinion the best game plan could have been to win against hammers and soton. To either draw or win against liva.
And then to draw against city.
What has happened has pressured the entire Arsenal fanbase and the team as a whole.
The board didnt believe if we could win the title.I am watching BHA vs ManU, had we had Caicedo in the squad, we would’ve won titles this season
Kama ni wazembe subiri weekend ijayo uko nao kwenye ligi.Hawa Brighton ni wazembe kwenye finishing. Na defense yao ni shit pia.
Ni kama wamekubali kwenda penati