Narekeremo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 722
- 768
Haya hatimaye kumekucha na usiku wa deni haukawii kucha lazima mtu atoke mikono nyuma kama kafiwa leo.
De BruineeeeeeeeeeeARV zinakuharibu akili dogo
























Ngumu ile imepigwa ndizi ya chini. Inatoka nje then inarudi ndani.Ramsdale alikuwa na uwezo wa kuzuia goli
TusipangianeWe jamaa nilikuwa nakuona mwanasport ila dah,very disappointing.tumia lugha za kimichezo