Usiwatafutie matatizo watoto wa watu. Pale kwenye benchi kila mtu anajificha nyuma ya kiti wanakwepa kuingizwa.Toa Ordegard na Jesus ingiza Trossad na Georginho.
Acha utani wewe..After seeing the lineups I am convinced we shall win this game
Team ya laaana hii fans wote wa Arsenal mmechose timu ya laana you will regret every season naaga Jukwaa hili rasmi nisije pata laana mambo yangu ya daily activities yakawa hayaendi naogopa laana BYEEE


Mkuu mpr bd lkn mnaweza mkaja mkashinda 3-2Hawa wanajua lbd maji maji ya songea hii ndo wanacheza nayo.Acha utani wewe..
Acha izo mkuu usiwe kama ile kenge hamis77 lakini kutwa kupiga kelele hapa cheki Sasa kawaachia msala kala KonaTeam ya laaana hii fans wote wa Arsenal mmechose timu ya laana you will regret every season naaga Jukwaa hili rasmi nisije pata laana mambo yangu ya daily activities yakawa hayaendi naogopa laana BYEEE


