joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,837
- 39,396
Tuncheza kinyonge sana, kipa mpka sasa ndiye anaye tubeba.
Mambo ya Mungu hapa hausiki kila mtu acheze kwa uwezo wake ashinde.Ile saa ya daud kumuangisha goliati imewadia, Mungu uwe nasi
Naendelea kutazaman mkuu. NipoKaribu uwe mtazamaji mkuu
Mmeshaanza lawama mapema tuu 😂Huyu refa keshapokea bahasha huyu, penalti ya wazi kabisa.
Umeongea ukweli..kipa wenu angekuwa amelala nje leo zingekuwa goli 4 mpaka saa hii.Tuncheza kinyonge sana, kipa mpka sasa ndiye anaye tubeba.
VAR amescoreStones angescore lingeku ni goli lake la kwanza tangu 2021