Kwamba timu inastruggle kufanya build up kisa Saliba hayupo?Hii mechi yetu dhidi ya City Mikel Arteta angemjaribu Partey kwenye nafasi ya Saliba na pia Jorginho acheze #6. Kuna vitu huwezi kuona thamani yake paka Vikuondoke, wale team Partey nadhani tumeona mchezaji yupi ni ufunguo baada ya Saliba kuumia, quality ya Saliba na holding ni nchi na mbingu.
Timu ina struggle kwenye build up
Timu inakosa control
Timu inakuwa chini muda mwingi, si kwenye key zones ambazo zinafanya tufunge magoli km tulivyozoea.
Kakipata matokeo mazuri hakoo kanakuja kwa wanaume kule kujitingisha...Where's hamis77 jamaa muoga kweli yule kama kadada hapa anasubiri Mpaka arsenyani wapate matokeo mazuri dhidi ya City ndo kataludi.
Kajamaa ni kaoga kajinga na kapuuzi sio shabiki ni mpiga kelele tu kwenye majukwaa ya wanaume.
Our build up is not fluid tangu saliba na Tomi kuumia ipo wazi, build up kwa sasa inamtegemea zinny, mfano mechi dhidi ya Westham Zinny hakuwepo, so Jesus ndio alifanya hiyo kazi na alikuwa anaenda kila sehemuKwamba timu inastruggle kufanya build up kisa Saliba hayupo?
Yaani alafu unaongea kabisa hata aibu huna, eti umeanza kushabikia mpira 2015, duuhh wewe wala sio wa kubishana na wewe kuhusu soka, ni katoto kweli kweli...2015 nakumbuka nilikuwa form 5 ,tunacheki UEFA kipindi hicho nakumbuka man city tulikuwa tunaishia round ya 16 ,Barcelona katutoa ....
Joe hart ni bonge la shot stopper kipindi Hiko ...
Frank lampard alikuwa ze cityzen ....
hakukuwa na namna yeyote ya shabikia wa arsenal kuwepo..
Kiufupi mashabiki wa arsenal ni wa enzi za kina Henry ,2003 huko ,ambapo sisi tulikuwa Bado hatujaanza hata la kwanza ....
Ndio maana mpaka Sasa mtaani huwezi Kuta shabiki wa arsenal kijana ....
Huyu atakuwa Oscar Oscar huyu piga ua.2023 nilikuwa Arsenal time ambazo walikuwa wanaudanganya ulimwengu kuwa tunaweza kuchukua EPL
Tunawezaje kucheza high line kama stopper hawezi kuwin duels?Game ya kwanza dhidi ya west ham (3-1) saliba alikuwepo, so inaonesha our def line height ilikuwa mita 20 juu zaidi ya mechi yetu ya marudiano tukiwa na Rob holding.
Madhara yake timu inakosa control sababu wachezaji wanacheza kwenye maeneo tofauti na ilipokusudiwa, timu inatengeneza nafasi chache na mwisho washambuliaji wanakuwa isolated sababu wapo miles apart, kwa wanaomfatilia cruyff wanaelewa maana ya distance kwenye mpira.View attachment 2599808View attachment 2599809
Uzur sik ya deni ni leo.City leo ndio anatupa ubingwa
2015 upo form five halafu unakuja hapa kutukana kaka zako we pimbi2015 nakumbuka nilikuwa form 5 ,tunacheki UEFA kipindi hicho nakumbuka man city tulikuwa tunaishia round ya 16 ,Barcelona katutoa ....
Joe hart ni bonge la shot stopper kipindi Hiko ...
Frank lampard alikuwa ze cityzen ....
hakukuwa na namna yeyote ya shabikia wa arsenal kuwepo..
Kiufupi mashabiki wa arsenal ni wa enzi za kina Henry ,2003 huko ,ambapo sisi tulikuwa Bado hatujaanza hata la kwanza ....
Ndio maana mpaka Sasa mtaani huwezi Kuta shabiki wa arsenal kijana ....
Ukiachilia hizi shots Arsenal hua tunastruggle kuscore asipokuepo Partey au Saka.Game ya kwanza dhidi ya west ham (3-1) saliba alikuwepo, so inaonesha our def line height ilikuwa mita 20 juu zaidi ya mechi yetu ya marudiano tukiwa na Rob holding.
Madhara yake timu inakosa control sababu wachezaji wanacheza kwenye maeneo tofauti na ilipokusudiwa, timu inatengeneza nafasi chache na mwisho washambuliaji wanakuwa isolated sababu wapo miles apart, kwa wanaomfatilia cruyff wanaelewa maana ya distance kwenye mpira.View attachment 2599808View attachment 2599809
Tatizo ni lako ,kushabikia timu la kimamruki kama hilii ,.....2015 upo form five halafu unakuja hapa kutukana kaka zako we pimbi
Utofauti wa Ferguson yeye alitoka kubeba kombe msimu uliopita je arsenyani mmebeba kombe msimu uliopita?Kwenye huu msimu City ilichukua kombe.
Kocha wa Nyumbu alikua Ferguson.
Ila nyumbu ni wajinga so hawawezi elewa.
View attachment 2599764
idea yko na mimi ndo ilikuwa kichwani why white asimludishe cbUkiachilia hizi shots Arsenal hua tunastruggle kuscore asipokuepo Partey au Saka.
Games tulizopoteza au kustruggle Saliba alikuepo ila Partey hakuepo.
Tulipoteza spot ya 4th msimu uliopita Saliba alikuepo Partey hakuepo.
Tumeshindwa kua threat Saliba alikuepo Saka hakuepo.
Hii kusema Saliba anasaidia build up how?
Kwangu naona ni makosa ya timu nzima kuliko ya kutokuepo Saliba, pasi zinazotolewa, mipira inayodondoshwa unnecessarily, kutokua willing kupiga shots za long distance, mentality mbovu hizi ndiyo zinatucost kwa sasa.
Na idea yako ya kumuweka Partey beki naona haiwezekani, ni bora White arudi CB, RB apelekwe Tierney, LB abaki Zinchenko.