Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Objective ya msimu ilikua kua ndani ya top four. Ilifikiwa kwa hizi suluhu 3.

Kisha hakuna anayefurahia. Wote tunaamini kwa tulipotokea na tulipo namba nne ni underachievement bila kujali nini au nini. Kihistoria kuna timu moja tu ishaongoza xmass na ikakosa ubingwa, ni liva ishawatokea mara mbili.

Mara ya kwanza ni ile ya Gerrard kuteleza ya pili ndiyo hii point moja wanayoiongelea kila saa. Kinachokera siyo kuingia kwenye hii historia ila ni kupoteza kombe kwa timu ambayo mashabiki wake Tz nzima hawawezi jaza uwanja wa Azam.

Ni aibu. Yaani shabiki anayekuja kukuambia unapoteza kombe hata hajui jina la kipa namba mbili wa City mpaka agoogle, huyo shabiki wa city mwenyewe hajui kama kuna mwaka club yake ilitoa season inaitwa All or Nothing, kama ya Arsenal.

Hiki ndiyo kinakera. Losing is there, we had a nice run, it was amazing along the way tumevunja na kuweka rekodi mpya kuna zingine tumezishindwa tutakutana nazo msimu ujao. But losing a trophy kwa timu ambayo haina mashabiki ni upuuzi.
Great run but second position is still the best hahahaha
 
Wewe muoga hamis77 utajificha Mpaka lini au unasubiri mpaka tucheze na Brighton napo hatufunge ndo ujitokee.

Jamaa kana mdomo sana ila kaoga kweli kweli utasikia hii ligi tunaenda kui dominant kwa miaka 10 mfululizo hii.

Yani na mkikosa ubingwa msimu huu kitawakuta kilicho wakuta Liverpool chini ya Brendan rogers kaongoza ligi kaachia mwishoni misimu iliyofuata nadhani kila mtu anajua Liverpool ilikuwaje.
 
Sijakutana na shabiki wa Arsenal aliyesema Saliba kuumia ndiyo sababu.

Tumefungwa magoli 9. Sisi tumefunga mangapi?

Katika majeruhi wenu wangapi ni starters?

Kiukweli mmejitahidi msishuke daraja hata hivyo isingekua mara ya kwanza nyinyi kushuka daraja
Sisi ndio tunasema, sio lazima shabiki wa Arsenyeto aseme
 
Kwa msimu huu chochote tutakachopata nje ya kombe ni underachievement.

Kuna mwaka utafika na hii run itatumika kumjudge Arteta

We still have the chance to emerge EPL title winner if we beat City and manage to win the remaining matches. This is possible, Ramsdale needs counseling, his recent blunders are discouraging his teammates and tarnishing his image to Southgate and the fans.
 
We still have the chance to emerge EPL title winner if we beat City and manage to win the remaining matches. This is possible, Ramsdale needs counseling, his recent blunders are discouraging his teammates and tarnishing his image to Southgate and the fans.
Baada ya mechi na City utarudi hapa kusema wachezaji wa Ass'anal wakiongozwa na kocha wao hawana marinda.
 
Unaona kejeli zako zinajaza wapinzani humu Jukwani?nilikuwa nakuonya usiweke ushabiki chambua football ️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi hamis77 ,wakati naonya ilikuwa naonekana mpinzani ,sometimes niliitwa ARV milangomitatu na wanaojiita die hard fans haya sasa pamenuka umekimbia ,tulichoambulia ni kuwa champions league but hayo ni mafanikio kwa big team kama Arsenal ambayo season nzima ilikuwa 1st position kwenye league?Acha tuendelee kupokea matusi
Msimu haujaisha kaka,ebu tungoje jumatano
 
hata city atapoteza point issue tu ni kwamba atapotezea wapi ?
Ishu ni hii ratiba ya arsenyani hatukatai city kupoteza ila inawekuwa arsenyani wakapoteza zaidi.
1682169393936.jpg
 
Back
Top Bottom