ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Great run but second position is still the best hahahahaObjective ya msimu ilikua kua ndani ya top four. Ilifikiwa kwa hizi suluhu 3.
Kisha hakuna anayefurahia. Wote tunaamini kwa tulipotokea na tulipo namba nne ni underachievement bila kujali nini au nini. Kihistoria kuna timu moja tu ishaongoza xmass na ikakosa ubingwa, ni liva ishawatokea mara mbili.
Mara ya kwanza ni ile ya Gerrard kuteleza ya pili ndiyo hii point moja wanayoiongelea kila saa. Kinachokera siyo kuingia kwenye hii historia ila ni kupoteza kombe kwa timu ambayo mashabiki wake Tz nzima hawawezi jaza uwanja wa Azam.
Ni aibu. Yaani shabiki anayekuja kukuambia unapoteza kombe hata hajui jina la kipa namba mbili wa City mpaka agoogle, huyo shabiki wa city mwenyewe hajui kama kuna mwaka club yake ilitoa season inaitwa All or Nothing, kama ya Arsenal.
Hiki ndiyo kinakera. Losing is there, we had a nice run, it was amazing along the way tumevunja na kuweka rekodi mpya kuna zingine tumezishindwa tutakutana nazo msimu ujao. But losing a trophy kwa timu ambayo haina mashabiki ni upuuzi.

️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi