Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijakutana na shabiki wa Arsenal aliyesema Saliba kuumia ndiyo sababu.

Tumefungwa magoli 9. Sisi tumefunga mangapi?

Katika majeruhi wenu wangapi ni starters?

Kiukweli mmejitahidi msishuke daraja hata hivyo isingekua mara ya kwanza nyinyi kushuka daraja
Sisi ndio tunasema, sio lazima shabiki wa Arsenyeto aseme
 
Kwa msimu huu chochote tutakachopata nje ya kombe ni underachievement.

Kuna mwaka utafika na hii run itatumika kumjudge Arteta

We still have the chance to emerge EPL title winner if we beat City and manage to win the remaining matches. This is possible, Ramsdale needs counseling, his recent blunders are discouraging his teammates and tarnishing his image to Southgate and the fans.
 
We still have the chance to emerge EPL title winner if we beat City and manage to win the remaining matches. This is possible, Ramsdale needs counseling, his recent blunders are discouraging his teammates and tarnishing his image to Southgate and the fans.
Baada ya mechi na City utarudi hapa kusema wachezaji wa Ass'anal wakiongozwa na kocha wao hawana marinda.
 
Unaona kejeli zako zinajaza wapinzani humu Jukwani?nilikuwa nakuonya usiweke ushabiki chambua football ️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi hamis77 ,wakati naonya ilikuwa naonekana mpinzani ,sometimes niliitwa ARV milangomitatu na wanaojiita die hard fans haya sasa pamenuka umekimbia ,tulichoambulia ni kuwa champions league but hayo ni mafanikio kwa big team kama Arsenal ambayo season nzima ilikuwa 1st position kwenye league?Acha tuendelee kupokea matusi
Msimu haujaisha kaka,ebu tungoje jumatano
 
hata city atapoteza point issue tu ni kwamba atapotezea wapi ?
Ishu ni hii ratiba ya arsenyani hatukatai city kupoteza ila inawekuwa arsenyani wakapoteza zaidi.
1682169393936.jpg
 
We still have the chance to emerge EPL title winner if we beat City and manage to win the remaining matches. This is possible, Ramsdale needs counseling, his recent blunders are discouraging his teammates and tarnishing his image to Southgate and the fans.
In my honest opinion the best game plan could have been to win against hammers and soton. To either draw or win against liva.

And then to draw against city.

What has happened has pressured the entire Arsenal fanbase and the team as a whole.
 
Back
Top Bottom