lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,476
- 25,608
Sisi ndio tunasema, sio lazima shabiki wa Arsenyeto asemeSijakutana na shabiki wa Arsenal aliyesema Saliba kuumia ndiyo sababu.
Tumefungwa magoli 9. Sisi tumefunga mangapi?
Katika majeruhi wenu wangapi ni starters?
Kiukweli mmejitahidi msishuke daraja hata hivyo isingekua mara ya kwanza nyinyi kushuka daraja
mafans wakina
️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi