Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hizi Kima zinafikiri jumatano zinacheza na Mbeya City.
 
Man Utd Fans mnawazidi wapinzani wenu Arsenyau kwa madongo ila Mashabiki wa Arsenyau wana matusi balaa kama waimba singeli
.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hizi kima za humu wengi wao ni wale watoto waliolelewa na single mother.
Watoto waliokosa malezi ya pande mbili matusi kwao ni lugha ya kawaida cha msingi ni kuwavumilia tu na kuwaelesha taratibu.

#Asiefunzwa na mamaae atafunzwa na Soton.
 
Ok Anything can happen ktk hizi mechi nane zilizobaki kwa Man City na pengine Arsenal mnaweza kubeba ubingwa lkn guys Guardiola huwa anaukatili sana kwenye hizi marathon na pengine hili kombe msimu huu ni lake.
Mwa-City wana kikosi kikubwa sana na uzoefu wa kubeba EPL trophies, kuna wakati wako radhi wazidiwe ball possession ila wapate point 3.

Kama CB pekee ina wachezaji zaidi ya watano, unadhani hata rotation ya Wachezaji si inanoga sana?

Je faida za kuziba pengo la Majeruhi?

Je Mchezaji akiota mapembe si rahisi kuwekwa benchi hata msimu mzima?

Arsenal FC ina kikosi finyu kwa kufanya rotation sasa pumzi imekata.

Poleni sana Mashabiki wa Arsenyau.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mfano mzuri ni mechi ya mwisho msimu uliopita, City anapigwa 2 mashabiki wa Liverpool wakaanza kushangilia. Ilivyopigwa comeback wakina Salah wanauliza mashabiki vipi matokeo ya City uwanja mzima mashabiki hawaamini kilichotokea.

Hawa Arsenal pale Etihad wanaenda kufungwa tu, Man City wamecheza game nyingi ngumu na za ushindani msimu huu na wanapata matokeo.
 
Hawa Taito Kunitenda huko Uefa wanaenda kuzurura tu na kutolewa kwenye Group Stage kisha wanarudi zao kucheza Futuhi(Europa)
nyie wote ni futuhi material. futuh mnakaangwa yuefa mtaiweza kweli
 
Arteta anamnyima nafasi ESR anampa mbwia unga
 
Mseng Ramsdale mpiga nyeto na yule mtumia madawa msimu ujao wasiwepo hata benchi
Next game turner akae golini, Arteta aache usenge kmmmk
nawashangaa nyie asenyani tangu lini mjieke presha ya kombe nyie n middle team na mnaridhikaga na ii ndo asenyani tunaoijua ile ya miez ilopita ni maigizo2 walikua wakifanya ateta na kikundi chake cha wahuni vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…