Poleni sana gunners wenzangu.
Binafsi nilishasema simdai Arteta chochote Kwa hapa alipofika.
Suala la ubingwa lilikuwa gumu tangu mwanzoni ila vijana wamejitahidi. Hata hivyo Arsenal wajilaumu wenyewe kwanza Kwa kuchezea fursa
Poleni sana gunners wenzangu.
Binafsi nilishasema simdai Arteta chochote Kwa hapa alipofika.
Suala la ubingwa lilikuwa gumu tangu mwanzoni ila vijana wamejitahidi. Hata hivyo Arsenal wajilaumu wenyewe kwanza Kwa kuchezea fursa
"Naipenda Arsenal nawaangalia sana kutokana na aina yao ya uchezaji, pia wana kikosi cha vijana wengi hatari na tishio, fikira zao kwa sasa kama timu wanaonesha kuhitaji mataji makubwa nitafurahi wakinisajili"