Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumeongea sana wengine tukaonekana wapumbavu Arsenal alistahili kubeba Europa league tukaambiwa na die hard fans kuwa HATUITAKII MEMA haya sasa kiko wapi?sisi wenye akili tuliona bora Europa league hata tukikosa ubingwa tuna kombe la ulaya very PAINFUL PAINFUL
Hata Europa league tusingefika kokote kule kwa hii mindset ya hii timu, miaka nenda Rudi katika crucial moment wao ndio wanaharibu this is not a mindset ya timu inayotaka makombe.. very poor mindset kwa timu inayo claim ni top team.. it's disappointing
 
Arteta ni Jasusi la Kihispeni wewe imagine jitu alijawahi kuitwa timu ya Taifa hapo miaka yote yupo uingereza.

Hapo serikali ya uhisupeni imemtuma kuihujumu Arsenal kwa sababu ya malengo ya Arsenal kutaja kufuata lagasi ya Barcelona la kutandaza pai safi na building kutokea chini .
Na linafanya kazi yake ya ujasusi ipasavyo
 
Arteta ni Jasusi la Kihispeni wewe imagine jitu alijawahi kuitwa timu ya Taifa hapo miaka yote yupo uingereza.

Hapo serikali ya uhisupeni imemtuma kuihujumu Arsenal kwa sababu ya malengo ya Arsenal kutaja kufuata lagasi ya Barcelona la kutandaza pai safi na building kutokea chini .
Na linafanya kazi yake ya ujasusi ipasavyo
 
Back
Top Bottom