ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,369
- 118,755
Bure kabisa, uongoze ligi karibia miezi yote uje uachie tonge games kumi zimebaki?😔😬😬😬😬 hii timu ni bure kabisa
Bure kabisa, uongoze ligi karibia miezi yote uje uachie tonge games kumi zimebaki?😔😬😬😬😬 hii timu ni bure kabisa
😂 nacheka lakin naogopaHuwezi kujua labda Saka anaweza kuliiba
Hata Europa league tusingefika kokote kule kwa hii mindset ya hii timu, miaka nenda Rudi katika crucial moment wao ndio wanaharibu this is not a mindset ya timu inayotaka makombe.. very poor mindset kwa timu inayo claim ni top team.. it's disappointingTumeongea sana wengine tukaonekana wapumbavu Arsenal alistahili kubeba Europa league tukaambiwa na die hard fans kuwa HATUITAKII MEMA haya sasa kiko wapi?sisi wenye akili tuliona bora Europa league hata tukikosa ubingwa tuna kombe la ulaya very PAINFUL PAINFUL
Na linafanya kazi yake ya ujasusi ipasavyoArteta ni Jasusi la Kihispeni wewe imagine jitu alijawahi kuitwa timu ya Taifa hapo miaka yote yupo uingereza.
Hapo serikali ya uhisupeni imemtuma kuihujumu Arsenal kwa sababu ya malengo ya Arsenal kutaja kufuata lagasi ya Barcelona la kutandaza pai safi na building kutokea chini .
Inasikitisha na kukatisha tamaa kabisa, watasema lengo la timu ni kufuzu UEFA, Ujinga mtupuBure kabisa, uongoze ligi karibia miezi yote uje uachie tonge games kumi zimebaki?
Na linafanya kazi yake ya ujasusi ipasavyoArteta ni Jasusi la Kihispeni wewe imagine jitu alijawahi kuitwa timu ya Taifa hapo miaka yote yupo uingereza.
Hapo serikali ya uhisupeni imemtuma kuihujumu Arsenal kwa sababu ya malengo ya Arsenal kutaja kufuata lagasi ya Barcelona la kutandaza pai safi na building kutokea chini .



