Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata Europa league tusingefika kokote kule kwa hii mindset ya hii timu, miaka nenda Rudi katika crucial moment wao ndio wanaharibu this is not a mindset ya timu inayotaka makombe.. very poor mindset kwa timu inayo claim ni top team.. it's disappointing
Small mentality club,season hii baadhi ya fans sababu ya small mentality wakasema Europa league halina umuhimu hapa huwa ndipo naonaga nipo tofauti na baadhi ya fans kimentality unaishia kutukanwa au kusemwa vibaya,Arsenal nzima bado wana hii mentality ya Guinness world record
 
Hongereni arsenal mmecheza kwa spirity kubwa sna. Next mnakutana na Man City naamini mtashinda
Mancity watakubali kweli timu ambayo kushindwa ni bahati? Harry Kane angekuwa mancity sasa hivi angeweza kufunga magoli mengi kwasababu timu ina create chances nyingi za kufunga kwa washambuliaji.

Tatizo Pep ni mbaguzi.
 
Haya nendeni mkatafute ringi lenu, mjipange tena msimu ujao kenge nyie
kweli kabisa wakatafute ringi tu au gololi.
Nyie kima nawakumbusha hii ni mechi ya 3 mfululizo mnaambulia sare, Pep muda huu anakuna pumbuh tu huku anawasubiria maghetoni kwake.
Screenshot_20220917_172640.jpg
 
Back
Top Bottom