The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Heheheee uyu jamaa lazima atajinyongaEndelea kusubiri ,ila hii Arsenal tuliona ikigombea ubingwa toka pre season ,japo mlibisha Sana
Mechi ya Jumapili usitegemee Liverpool a dominate mechi
Hadi Sasa Epl mechi ya 29 ,Ni mechi Moja tu vs Brighton ndio mechi Arsenal alikuwa dominated Tena 2nd half
Wengine wote unaowajua wamekuwa wanapaki Basi muda mwingi
Anavyochambua sasa utadhani timu kweli kumbe ushuzi mtupu, timu haina uefa wala europa yeyote tangu ianzishwe na haina nafasi hiyo mpk mwisho wa duniaMartinelli Jesus Saka
Hii Trio mapema Sana tutashinda jumapili
Xhaka & Partey kwenye midfield
Odegaard Kama Muunganishaji
Jesus ameanza kurudi kwenye ubora ,anarud chini kabisa kuchukua mipira
Akianza TAA nadhani tuta utarget Sana huo upande
Ila nahisi ataanza Gomez maana katika mechi 18 alizoanza TAA ,winger ,za Kushoto za timu pinzani wamekuwa MOT Mara 12-14
Pia ina miaka zaidi ya 8 haijawahi kuingia kwenye top4 ya Epl.Anavyochambua sasa utadhani timu kweli kumbe ushuzi mtupu, timu haina uefa wala europa yeyote tangu ianzishwe na haina nafasi hiyo mpk mwisho wa dunia
View attachment 2592839
Nyie arsexual semeni ukweli malengo yenu yalikuwa ubingwa au Top 4
Kazi kupiga nyeto tu
Naunga tela.Asexual
Asaniwali
Asenyeto
Asaniali
Hili Jukwaa limevamiwa na Wananchi wenye hasira kali yaani wanashambulia kama vile wanapiga mwizi
Daahhh Carrasco umeanzisha msako wa nyumba kwa nyumba kuzitafuta hizi kima zilipo jificha?Arsexual wamehamia jukwaa la MMU huko
Spana za humu siyo mchezo
Uzi umeshabaki gofu huu, wachambuzi uchwara washakula kona.
Wanasubiri timu ije ishinde 2-1 kwa soton ndio waje waanze kudanganyana tena kwamba hamna timu inataka kucheza na arsenyau.