Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walikuwa washaanza kuaminisha watu kwamba hawa kenge ni mabingwa watarajiwa, mm nilikuwa sitaki kuamini mpaka dakika ya mwisho mana nilijua tu.

Ass'anal tangu lini wakawa serious, timu ina vitoto toto kibao alafu wanataka ubingwa, labda ubingwa wa nyoko.
 
Tujikumbushe
 
Muone huyu kima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…