We jamaa kama sigara kali huelewekiWest ham tunafanya Comeback ya kibabe hii Game arsenyeto anakufa
Kusonga mbele wap....Mpaka dakika hii mechi inakwenda vizuri, Tunahitaji draw kusonga mbele!
Matusi ya nn tenaKuna baadhi ya wachezaji wa Arsenal wanafirwa. Ligi ya uingereza ipo chini kwa ubora, kama timu inayoongoza ligi inacheza hivi
Ohooo.....ohoo....oho...Asenyau wazee wa taito kunitenda.
Nilisema wakikosa ubingwa watapigana sanaKuna baadhi ya wachezaji wa Arsenal wanafirwa. Ligi ya uingereza ipo chini kwa ubora, kama timu inayoongoza ligi inacheza hivi
Kwani kuliiba haiwezekani ?Liver alipiga come back na West Ham nae amepiga come back.. lakini mlitupigia kelele nyingiii kisa Sevilla alipata draw juzi.. Na bado mna mechi ngumu sana msipojikaza mtatoka patupu msimu huu!!
Mpewe?Kwa Arsenal hii tupen kombe letu mapema tu
Labda mtondoo (ndoo ya haja kubwa gerezani)mkuu anza kuagiza bia kabisa
Hii ni Arsenal ya NDOO
Kuna baadhi ya wachezaji wa Arsenal wanafirwa. Ligi ya uingereza ipo chini kwa ubora, kama timu inayoongoza ligi inacheza hivi
Hiki kitu nilikuwa nawaambia raia hapa nyumbani kwangu, game za mwisho wa msimu huwezi kuziendea kichwakichwa wakati kila team inawaza kumaliza ligi vizuri. Ni lazima uziendee na mpango kazi wa kutafuta magoli mapema kisha uyalinde haswa.Arteta angepiga chabo hata kwa Morinho na Fergie jinsi ya kucheza mechi za mwisho mwisho,hizi mechi za mwisho lazima utumie mda mwingi kwenye defence.
Anaeongoza ligi huko Spain alifungwa na Man Utd inayoshika nafasi ya nne, mpira hauendi hivyo ni vyema ukajipoza hizo hasira.Narudia tena kama timu inayoongoza ligi inacheza hivi, ligi ya uingereza ipo chini kwa ubora
Daa mkuu inatosha maana unanivunja mbavu"Atheno mwaka wetu huu"
"Namna tunavyofanya prething and overloading hakuna team inataka kucheza na atheno"
Kmamaeee.