Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Saka leo ampishe Trossard Mapema 2H, yupo slow sana.
Hakuna link nzuri kwenye wing ya kulia kati ya saka na ben white,
Partey nikama hana muunganiko mzuri leo na ode au shaka
Pengo la zin linaonekana leo hasa kwenye kutuliza timu ila nna mashaka kama defensively asingetuchoma maana wapuuzi wana movement za hatar
 
Hii ndo game ya kupunguza gape la GD dhidi ya city.
Ila wachezaji wanacheza kama wanachukulia poa tu
 
JESUS nae leo anakuja sana chini imekua too much sana hata kama tunacheza positional play lakini akija sana chini anaiharibu shape ya timu,dakika 15 za mwisho timu imecheza chini sana.hii mechi Nafikiri Georginho inamfaa zaidi pale kati kuliko partey na baadae aingie Nketiah tu astick pale juu
Point,ila jesus anashuka chini sana kutokana na kucosekana kwa game control kutoka kwa shaka na kapten ode
 
Aseno supporters
20230416_163130.jpg
 
Back
Top Bottom