toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Hakuna link nzuri kwenye wing ya kulia kati ya saka na ben white,Saka leo ampishe Trossard Mapema 2H, yupo slow sana.
Partey nikama hana muunganiko mzuri leo na ode au shaka
Pengo la zin linaonekana leo hasa kwenye kutuliza timu ila nna mashaka kama defensively asingetuchoma maana wapuuzi wana movement za hatar



