Kila mtu alianza kushabikia Arsenal kimpango wake, wengine tulianza miaka ya 90, wengine walianza baada ya 49 unbeaten, wengine sijui walianzia wapi! Kwa bahati mbaya hatukuwa na kikao cha pamoja cha kujadili timu zipi tuziunge mkono na zipi tuzipe kisogo, ingawa kuna kasumba kuwa shabiki wa Arsenal hawezi iunga mkono United. Sijui hii dhana imetokea wapi, coz hata Waingereza wenyewe hawako kihivyo... Ni kasumba za kwenye vibanda umiza vya kwetu. Mimi ni Gunner na leo I bet on United....
Umenena vema Mkuu, bongo hakuna ushabiki ni mikelele tu!
dah! mashbki wa gunners kwa majungu siwawezi.ukiweka man u na jiwe mimi nashabikia jiwe.
barca hawawezi kuipiga gunners wakawaacha man u.
patamu hapo.
Waungawana nipo porini game inaanza saa ngapi kwa saa za kibongo
Man Utd ni vibonde wa arsenal? Wewe umeanza kuangalia mpira mpira mwezi uliopita?Nimekuwa nafikiri sana kuhusu huu mtanange wa UCL kati ya ManU na Barca. Mwishowe, nkajiuliza Hivi sie Arsenal leo tumshangilie nani?
1. Man U sababu tupo ligi moja, na ni vibonde wetu? (Lakini tulipopigwa na Barca walitucheka)
2. Barca sababu man u ni wapinzani wetu?
Tusaidiane wadau
Nimekuwa nafikiri sana kuhusu huu mtanange wa UCL kati ya ManU na Barca. Mwishowe, nkajiuliza Hivi sie Arsenal leo tumshangilie nani?
1. Man U sababu tupo ligi moja, na ni vibonde wetu? (Lakini tulipopigwa na Barca walitucheka)
2. Barca sababu man u ni wapinzani wetu?
Tusaidiane wadau
shangilieni Barca na mjitahidi kufika fainali ya uefa angalau msimu mwingine!!..
hata niwekewe kisu siweshabikia MAN U hata kwa dawa!
ukiweka man u na jiwe mimi nashabikia jiwe.
barca hawawezi kuipiga gunners wakawaacha man u.
patamu hapo.
BJ tuko timu moja leo nimeshatia uzi wangu mwekundu (kwa leo tu hahahahah lol!) kuwafagilia. Naomba msiniangushe na kuniharibia weekend yangu.
Sio wa gunners tu, hata wa timu nyingine nao wana majungu kama haya!dah! mashbki wa gunners kwa majungu siwawezi.