Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kweli misukule, si ndio nyie mlituaminisha game ngumu pekee ni brighton na newcadtle? Leo baada ya kupakishwa basi ndio mnajua Anfield pagumu.
sasa nyie vilaza taarifa tu chelsea wabovu lakini lazima awachezee makalio. Nimekaa pale.
 
Umeandika kinyongeeeee Labyrinth 84 Ha ha haaaaaaaaaaaaa
 
Bayern walichobugi ni kupenda wachezaji wa beii chee huyu kipa siyo wa level yao
Sasa kati ya Bayern na nyie Arsenyau ni nani anaependa wachezaji wa bei chee?
Umeona kwanza mpira wa wanaume waliokomaa unaochezwa kwenye Uefa?
Haya nyie pelekeni hicho kikosi chenu cha wanywa uji muone mtakavyotolewa mapema tu kwenye group stage.
 
Pointi 6, Man City anakuja kuchukua 3 na magoli ya kutosha afu na bado mtakuwa na mechi moja zaidi yake 😂
Anakuja mgonjwa Chelsea anakuja kupata draw
Anakuja mnyonge flani kutoka pasipojulikana anawalisha vumbi
 
mkuu unaota amka utajinyea hamna mchezaji yoyote wa ku compete ucl hata mmoja kupewa zinchenko na Jesus man city so wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…