Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Ungeweza kuweka hizo stats bila kutumia maneno ya kuudhi kenge maji weeeNdivyo ambavyo mnajazana ujinga hivi?
Kama historia ndio inacheza basi nikwambie tu huyo lampard si kitu kwa City.
LAMPARD VS CITY
1 win
1 draw
3 losses
Lete hiyo historia nzuri ya lampard kwa city.
Acha matusi mke wangu LatifaThe whole World against Arsenal. Wasengerema tu nyie.
Hajashusha timu kwa kupenda bali alizidiwa maarifa na Klopp hasa baada ya kuingia Alcantara.Njia nzuri ya kujilinda ni ku-possess mpira, ila Arteta hua anaamua kushusha timu chini kupaki basi
Naona comments zako zimejaa ukakasi halafu wewe ndio unanielekeza mimi namna ya kukomenti WTF.Ungeweza kuweka hizo stats bila kutumia maneno ya kuudhi kenge maji weee
Tatizo la arsenal fans they are so biased kiasi kwamba wanataka kupindisha facts ziendane na mapenzi yao.Hajashusha timu kwa kupenda bali alizidiwa maarifa na Klopp hasa baada ya kuingia Alcantara.
Arsenal mnashindwa kumkubali mpinzani kuwa amewazidi.
Kama huioni timu yako hapa kaa kwa kutulia sio kupita mbele ya wanaume huku ukitingisha makalioAss'anal akikosa ubingwa mwaka huu hatopata tena mpaka mwaka 2090.
ni wale ambao hwana jicho la kimpira.. wao wnahama na camera tu ya TV mda wote.Hajashusha timu kwa kupenda bali alizidiwa maarifa na Klopp hasa baada ya kuingia Alcantara.
Arsenal mnashindwa kumkubali mpinzani kuwa amewazidi.
Hii kauli iogopeni Arsenal,ni sentence yenye maneno machache sana lakini waulizeni Liverkuu wa kideli,walifukuza upepo hadi filimbi ya mwisho upara anavuna point baada ya point tu.Jamaa anatutisha but the real truth huu ndio ukweli wa Kipara hanaga mzaha wana Gunners wenzangu,players na kocha waondoe presha na wawe very serious muda huu,tumekosa FA,Carabao na Europa tukasema tunaweka nguvu kwenye EPL ili tuwe na match chache so kwa sasa ni no excuse tunahitaji EPL liende kabatini EmiratesView attachment 2583580
🤣🤣🤣🤣🤣 who's this guy?Hawa wachezaji wa mafungu ndiyo mnataka wakacheze Champions League!?View attachment 2582933
Tukisema baadhi ya mashabiki wa Arsenal akili ziko fyatu huwa mnatuona sisi wakorofi.Kupambania UCL trophy ni kutumia nafasi kama hizi, msimu ujao experience itakua ya kutosha
Hii timu itaenda kudominate European football kwa miaka 10+View attachment 2582602
Kwamba wenger na kushiriki kote uefa bado team yake ilikua haina experience ya kutosha kudominate europian football!!Tukisema baadhi ya mashabiki wa Arsenal akili ziko fyatu huwa mnatuona sisi wakorofi.
Ona huyu sasa alichoandika.
Unaijua UCL wewe?
Muulize Wenger au Pep watakupa picha kamili.
Zincheko hakuna beki pale, yule anafaa kwa kuonea vibonde wa ligi tu ni bora tulimuuza.Jipeni moyo zinchenko na Jesus tumewauza kwakuwa bado watoto hamtoamini tunanyanyua makwapa kuna timu hata ziki kuacha magori huwapati ila sio aseno
Msimu huu asipobeba UEFA atalia hatoaminiJamaa anatutisha but the real truth huu ndio ukweli wa Kipara hanaga mzaha wana Gunners wenzangu,players na kocha waondoe presha na wawe very serious muda huu,tumekosa FA,Carabao na Europa tukasema tunaweka nguvu kwenye EPL ili tuwe na match chache so kwa sasa ni no excuse tunahitaji EPL liende kabatini EmiratesView attachment 2583580