Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,636
- 25,617
Man City ikifungwa na Southampton leo, Arsenal kesho itaelekea kuchukua kombe ikiwa itaifunga Liverpool pale Anfield.Na kwenye hiz mech10 game1 ndo ngumu na hii mech arsenal akipata point3 kwa man city bac ubingwa utakuwa upo mikonon mwao
Maana Arsenal itakuwa yaongoza kwa points 11.
then tuone tumeachive kitu no way kwa sasa EPL ni lazima
league, FA ,sisi tuna EPL pekee why tuone second place ni sehemu ya kuridhika na still tupo top hadi sasa?kwa sasa tulipo tukishindwa kubeba EPL na still 9 games zimebaki itakuwa ni tumefeli vibaya mno angalau hata tungeshika nafasi ya 3, kuliko mwaka mzima tuwe namba 1 then tumalize second place without FA,Carabao au Europa league medal