Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Reporter:

You have four attackers in good form – Saka, Martinelli, Jesus, Trossard…

Arteta -

"And Reiss!"
IMG_20230304_215559.jpg
 
Nilikuwa napitia Social media mbalimbali , mashabiki wengi hasa manjesta wamekaa wanatuombea mabaya wakiwa wanatembea na fixtures yetu wanadai Ni ngumu Sana hatuwezi kutoboa

Huenda tukishinda kesho tutarajie kusikia wengi wakifa kwa presha
Ni kweli. On paper, mechi zetu ni ngumu kuliko za City
 
Battle ya kiungo sina shaka, uwepo wa Partey ndo kila kitu.. nina uhakika tutachuana.

Kule mbele Jesus akiendeleza moto wake aliouwasha kwenye mechi iliyopita kwa kuwa aggressive na kupress defence ya Liverpool vizuri, basi hatutakosa chochote kitu mana kuanzia kwa Allison na zile beki VVD/Matip wapo pale kwa ajili ya kufanya makosa. Beki pekee wa kufuta makosa yao ni Konate.
". ..wapo pale Kwa ajili ya kufanya makosa.."

🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
 
Mathematically bado City ana chance kama tuliyonayo towards a title.

Ana michuano zaidi ya ligi yeah ila pia ana kikosi cha kumtosha kufanya yote hayo so hii sidhani kama inatakiwa kutufanya turelax

Ana mchezo mmoja mkononi kutuzidi. Ana 64 points tuna 72 games zimebaki 9 kwetu ila kwake zimebaki 10. Tutakutana na yeye, liva na chelsea.

Arsenal tumestruggle Anfield kwa kipindi kirefu almost games 9 ambazo tulikua tunafungwa huku hatupati hata goli moja. Opta stats wamempa 51% Liva kushinda Arsenal tuna stats 21 kushinda na draw ina 26 hivi.

Yaani we are going into this as underdogs.

And its all fair considering this side has beaten their arch rival 7 - 0 na wana rekodi nzuri Anfield. So in all fairness City na wapinzani wote wanatarajia hii ndiyo iwe game yetu ya kwanza kupoteza after successfully going in a 7 games streak win.

City leo ana Soton. Soton yupo kwenye kugombea kubaki ligi kuu kuna watu husema timu inayoshuka daraja hua hatari kuliko inayojua bado ipo ila as Arsenal players said "Tunadeal na mechi zetu hatujui wengine wanachofanya" so Soton wakimzuia City in any way ni sawa ila wakifeli ni sawa pia.

We need at least 6 wins ili kujihesabu tushamaliza ishu nzima among those 6 City asikose. Thats because City ndiye amekua anatuponyoka in wild ways kila tunapohisi we are in good position to win.

So race is still open and we dont have problem with it
 
Mpaka hapa simdai Arteta. Naona kama ame overachieve kulingana na misimu iliyopita. Hata tukiwa wa pili siyo wengi watachukizwa.

Hata hivyo, ingali nafasi ya kwanza ipo up for grabs, why not grab it tunyanyue kwapa tutambe mtaani
 
Hata hivyo kuna factor nyingine

Chini ya Arteta tumevunja rekodi pia.

Hatukuwahi shinda Old Trafford tangu 2006 na hii ikawa rekodi ya kwanza kuvunjwa. Darajani since 2011 hii ikawa ya pili kuvunjwa na White Hart Lane since 2014 ila msimu huu tumeivunja.
 
Mpaka hapa simdai Arteta. Naona kama ame overachieve kulingana na misimu iliyopita. Hata tukiwa wa pili siyo wengi watachukizwa.

Hata hivyo, ingali nafasi ya kwanza ipo up for grabs, why not grab it tunyanyue kwapa tutambe mtaani
Kuna ukomavu kikosi chetu haina. Games against Everton na Soton zile ndiyo games ilitakiwa zitufikishe mahali
 
Kuna ukomavu kikosi chetu haina. Games against Everton na Soton zile ndiyo games ilitakiwa zitufikishe mahali
Wakaze tu hivyo hivyo. Games Tisa siyo nyingi ila siyo rahisi. Wakomae tu kushinda huwezi jua mpinzani anaweza kudrop points. Mara paap, unatangazwa bingwa huku una mechi 3-4 mkononi ...
 
Unamnunua mchezaji kwa 100M na maisha ndiyo hayo.

Erik kawaza nini kumuweka Sabitzer kama AM halafu Fernandes kumrudisha nyuma
 
Back
Top Bottom