Conte kafukuzwa siku ya birthday ya Arteta.Kuna wachambuzi Since wanafiki Sana ,mwaka Jana Conte walisema atagombea ubingwa msimu huu , dirisha kubwa kaongezewa Bissouma, Richalrson ,n.k January kaongezewa Porro kwa €50m, sababu ya mpira wake wa ovyo wale wale wachambuz wanasema Levy ameshindwa kumsapoti
Since 2020, #Arsenal have spent £391.5m; Spurs have spent £337.5m.
Spurs have also added Danjuma and Lenglet on loan, and Kulusevski and Porro on loans with obligations.
When they become permanent, they will have outspent us.
Levy backs managers; they just buy garbage.
Yaani ukikutana na timu inaongozwa na kocha mzoefu na nyingine inaongozwa na kocha ametoka kua msaidizi ukimhofia mzoefu hatutashangaa. Isipokua Arteta tayari alishaonyesha brilliance ilikua ni drama kum-write off kwa mtindo huo.
Same defence tuliyoambiwa haifundishiki Arteta alimaliza nayo msimu ikiwa tatu bora ya defense. FA dhidi ya Chelsea iliyoonekana imekamilika CS dhidi ya Liva ya moto kabisa.
On top of that second round ya msimu uliopita Arsenal tulikua tupo kwenye tempo nzuri mno na ndiyo hiyo tukaanza nayo msimu.


Bukayo Saka set to be the best paid player at Arsenal on £300,000-a-week with his new deal. All bonuses included.
)




| Arsenal are “ready to announce” Bukayo Saka’s contract extension, as per @Journo_Slash.
#afc
)