Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Junior Firpo kuelekea Arsenal vs Leeds wiki ijayo:

"Tukiwa nyumbani dhidi ya Arsenal tulicheza mchezo wa kuwashangaza , kwa hivyo hakuna hofu. Tutatafuta pointi tatu.

Watahitaji kufanya vizuri zaidi ikiwa wanataka kutupiga."

Kawaida timu kubwa husema: Hatuhitaji kuharakisha, cheza tu hadi wachoke, Kuna wachezaji wao hawatakimbia wanachohitaji kuziba nafasi na sisi tutafaidika.

Lakini katika timu yetu, hilo halifanyiki - tunakimbia kwa mchezo mzima."
 
Leeds akitaka mchezo wakupishana na arsenal basi kikombe hakitamuepuka
Atakula MKONO
inabidi uwe na nidhamu na adabu ya hali ya juu unapocheza na hii arsenal NDOO
Wawaulize Fulham ,Marco Silva alisema atapress Sana na amejiandaa kutushambulia

Sasa Leeds wajaribu , karibu timu 16 zimepaki Basi Even mancity alikaa nyuma
 
Unaona huku mwisho uliposema 'Under Arteta' hichi sasa ndiyo ninachomaanisha mimi kwamba akifika anatakiwa awe adjusted kwanza. Hatotoa matokeo instant, ila Zubimendi akifika anaanzia alipoishia
Umeona stat zake hapo juu kaweka bwana hamis? Hapo yupo kwenye timu mbovu ya Westham na kocha mbovu Moyes, yaani kwa maana ingine anaibeba Westham mabegani? Under Arteta, he gonna be the world beast, sio mchezaji wa kufananishwa, he's the major league.
 
Rio Ferdinand-

"No team will stop Arsenal next season if they will really sign RICE.I can see Champions League medal at Arsenal next season.Arteta was not made to be a Manager BUT was born a football manager."
Rio anasema ukweli, game tuliyotolewa na Sporting Europa ilionesha wazi michuano ya knockout kama UEFA itakuwa ngumu kutoboa bila pnp & intelligence kwenye midfield. Rice anakupa vyote kwa level ya juu.
 
Hii Scotland game plan yao ni kama United
Rodri on Scotland: “It's the way they play...for me it's a bit rubbish. Because it's always wasting time”. 󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿

“They provoke you. They always fall. For me, this is NOT football”, told Via Play.

Siku zote ukijiua mpinzani wako umuwezi wewe cheza ball la hovyo tu.
Screenshot_20230329-113912.jpg
 
WENGER ATANGAZWA KATIKA MAGWIJI WA MUDA WOTE LIGI KUU

Kocha wa Zamani wa Arsenal, Arsene Wenger na Kocha wa Zamani Sir Alex Ferguson wame tangazwa Leo Kuwa Makocha wa Mwanzo katika Tuzo ya Magwiji wa Ligi Kuu ya England (halloffame2023)... Hii ni Heshima ya Chama cha Soka na Utunzi wa Kumbu kumhu kwa Vizazi Vijavyo Kuonesha Mchango wao.

Kwa Mantiki hii, Unaanza Wenger na Ferguson, Kisha unataja Makocha wengine kwenye Chati za Ubora wa muda wote England... Tuneelewana?
 

Attachments

  • FB_IMG_16801023577503701.jpg
    FB_IMG_16801023577503701.jpg
    45.1 KB · Views: 12
WENGER ATANGAZWA KATIKA MAGWIJI WA MUDA WOTE LIGI KUU

Kocha wa Zamani wa Arsenal, Arsene Wenger na Kocha wa Zamani Sir Alex Ferguson wame tangazwa Leo Kuwa Makocha wa Mwanzo katika Tuzo ya Magwiji wa Ligi Kuu ya England (halloffame2023)... Hii ni Heshima ya Chama cha Soka na Utunzi wa Kumbu kumhu kwa Vizazi Vijavyo Kuonesha Mchango wao.

Kwa Mantiki hii, Unaanza Wenger na Ferguson, Kisha unataja Makocha wengine kwenye Chati za Ubora wa muda wote England... Tuneelewana?
Huyu mzee inabidi tumtengenezee sanamu

Hii bodi ya Arsenal inawaza nini kumbaf
 
WENGER ATANGAZWA KATIKA MAGWIJI WA MUDA WOTE LIGI KUU

Kocha wa Zamani wa Arsenal, Arsene Wenger na Kocha wa Zamani Sir Alex Ferguson wame tangazwa Leo Kuwa Makocha wa Mwanzo katika Tuzo ya Magwiji wa Ligi Kuu ya England (halloffame2023)... Hii ni Heshima ya Chama cha Soka na Utunzi wa Kumbu kumhu kwa Vizazi Vijavyo Kuonesha Mchango wao.

Kwa Mantiki hii, Unaanza Wenger na Ferguson, Kisha unataja Makocha wengine kwenye Chati za Ubora wa muda wote England... Tuneelewana?
Dah ila Ferguson haliwaonea kweli.

1996: United win PL
1997: United win PL
1998: Arsenal win PL
1999: United win PL
2000: United win PL
2001: United win PL
2002: Arsenal win PL
2003: United win PL
2004: Arsenal win PL
 
Dah ila Ferguson haliwaonea kweli.

1996: United win PL
1997: United win PL
1998: Arsenal win PL
1999: United win PL
2000: United win PL
2001: United win PL
2002: Arsenal win PL
2003: United win PL
2004: Arsenal win PL
Fergie alikuwa anajua kutafuta matokeo hasa anapoyahitaji
 
Dah ila Ferguson haliwaonea kweli.

1996: United win PL
1997: United win PL
1998: Arsenal win PL
1999: United win PL
2000: United win PL
2001: United win PL
2002: Arsenal win PL
2003: United win PL
2004: Arsenal win PL
Still Arsenal ndio timu pekee kwenye EPL kupewa kombe la gold baada ya invisible.

Hii rekodi inawatesa wapinzani wengi sana.
 
Vinara wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza "The Arsenal" watakua dimbani siku ya Jumamosi kwa ajili ya kutoa burudani ya soka safi na mabao

Kuna tetesi Leeds United wanataka mchezo wa kupishana sasa kitakachowapata wataenda kusimuliana na wenzao

#Arsenal Ndoo hutaki bishana na keyboard yako
20230323_123644.jpg
 
Thomas Partey ana matumaini ya kuwa fiti kukabiliana na Leeds siku ya Jumamosi.


Uamuzi wa mwisho utafanywa kwa siku mbili zijazo.



Haijabainika kama Saliba atacheza wikendi hii kwani klabu haitaki kumuharakisha

(@sr_collings )
 
90% destination yake ni Arsenal

£70-80m itatosha kumchomoa WesthamView attachment 2570716
Tangu saga la mudryk to chelsea nimejifunza kutoamini chochote mpaka nione neno official
Niliwahi sema na hapa narudia klabu,wachezaji na mawakala wanaitumia arsenal kuuza wachezaji wao.
Ni wengi mno ambao tuliambiwa kila kitu tayari but nothing happened
 
Back
Top Bottom