mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,694
- 19,545
Leeds akitaka mchezo wakupishana na arsenal basi kikombe hakitamuepukaI expect Vs Leeds mechi itakuwa wazi , wasichojua Leeds ,Arsenal tunapenda timu ya kupishana
Atakula MKONO
inabidi uwe na nidhamu na adabu ya hali ya juu unapocheza na hii arsenal NDOO