Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Let’s wait and see, labda kuna vitu havijakaa sawa. Personally I assess the player on what he does with the ball, sio kukimbiakimbia pasipo mpangilio.
Leo alikuwa hovyo sana, nadhani kama boss wa Chelsea alitazama hii mechi; anajuta kukurupuka
Asipopata mwanasaikolojia mzuri wa kumuweka sawa atakuja kua flop mzuri tu
 
Kwa game ya leo ya ya Ukraine na Uingereza kwa frst half Rice ni miongoni mwa wachezaji wenye stats za chini na hapo walimiliki mpira kwa 60+ percentage.

Anachofanya Partey ni hichi
  • Kutokimbia mpira
  • Take ons
  • Vision
  • Flexibility ya juu

Kama Rice angekua anafanya kila anachofanya Partey Bayern wangekua washamfuata, Bayern pia ina shida ya kiungo dizaini ya Partey.

Pengine unaona anachofanya Partey ni cha kawaida ila hapana bro, blud is talented siku akiondoka tukabaki na Lokonga pekee utapata picha zaidi.
Mbali ya kuwa hauangalii mechi pia nimegundua you don't understand the ideal criteria for a 6 in a 433 system. Kuna vitu aren't important for a sitting 6 position
 
Oya Rice huyu hapa, zinny anamuuliza unakuja, anajibu ndio. Lazima tufanye big signing this window.
 
Mbali ya kuwa hauangalii mechi pia nimegundua you don't understand the ideal criteria for a 6 in a 433 system. Kuna vitu aren't important for a sitting 6 position
Mechi nimeanza angalia dakika ya 61.

Nina swali mfano kesho una mechi Partey kaumia, ila unaweza mkodi Rodri kutoka City au Rice wa Westham. Utamkodi nani?
 
Mechi nimeanza angalia dakika ya 61.

Nina swali mfano kesho una mechi Partey kaumia, ila unaweza mkodi Rodri kutoka City au Rice wa Westham. Utamkodi nani?
Mbona unatoa mfano ambao ni hypothetically yaani kitu ambacho kinafikilika lkn hakiwezi kutokea
 
Mechi nimeanza angalia dakika ya 61.

Nina swali mfano kesho una mechi Partey kaumia, ila unaweza mkodi Rodri kutoka City au Rice wa Westham. Utamkodi nani?
Hapo kwenye options umekosea. Ilitakiwa umueke Rice v Zubimendi kama ulivyochambua hapo juu, na sio Rice v Rodri.

It's obvious, kama ni Rice v Rodri, Jibu ni Rodri.

Ila Rice v Zubimendi, nitaenda na Rice. Option ya Zubimendi itakuja ikiwa tuta save costs.
 
Mbona unatoa mfano ambao ni hypothetically yaani kitu ambacho kinafikilika lkn hakiwezi kutokea
Rodri na Rice wote ni viungo mmoja ni instant replacement wa Partey hapo. So ni uamuzi wako kuassume nilichosema
 
Hapo kwenye options umekosea. Ilitakiwa umueke Rice v Zubimendi kama ulivyochambua hapo juu, na sio Rice v Rodri.

It's obvious, kama ni Rice v Rodri, Jibu ni Rodri.

Ila Rice v Zubimendi, nitaenda na Rice. Option ya Zubimendi itakuja ikiwa tuta save costs.
Kama jibu ni Rodri 👏👏
Nimeona umepost video ya Rice akisema anakuja Arsenal.

Akifika tutaona atachukua muda gani.
 
Rodri na Rice wote ni viungo mmoja ni instant replacement wa Partey hapo. So ni uamuzi wako kuassume nilichosema
Kwann niassume hakuna kitu kama hicho wewe wap uliona katikati ya mechi timu inaazima mchezaji ?
 
Screenshot_2023-03-27-02-42-54-37_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Oya Rice huyu hapa, zinny anamuuliza unakuja, anajibu ndio. Lazima tufanye big signing this window.View attachment 2566964
Yah kamuuliza kasema anakuja

Arsenal walishaanza zaman mipango yakumchukua Rice

Binafsi naamini anahitaji muda kama kweli anakuja Kama replacement ya Partey

Lakin multiple reports zinasema tunasajili viungo wawili Rice na hao wengine ndio unaona Wana sifa za Partey ambao Ni Either Zubimend, Lavia au Caicedo

Rice tunamuona mkabaji pale Westham ila naona Mikel anamuona Kama Box to Box zaid, sitashangaa akija Kama no.8
 
Mechi nimeanza angalia dakika ya 61.

Nina swali mfano kesho una mechi Partey kaumia, ila unaweza mkodi Rodri kutoka City au Rice wa Westham. Utamkodi nani?
Naomba nichangie kidogo kwa 4-3-3 ambayo tunatumia Lone 6

Lazima tu umtumie Rodri

Yaan hata Casemiro hafai ,binafsi namuona Rice Ni version ya Casemiro

Viungo wa namna hii Kuna vitu Wana hitaji ili kucheza lone 6

Ile kuhusishwa kwenye buildup na u supply mipira pande zote kwa usahihi ,ukifanyiwa pressing utoboe vzr tu, ukave eneo kubwa peke yako sio kazi nyepes

Thus why pale Madrid casemiro alikuwa hausishwi kwenye buildup, Ni Modric na Kross ndio wanachukua mipira chini na kuanza kusupply kwa pass zao ndefu na za ufundi , casemiro alikuwa Ni kukaba na kuwapa hao mafundi mpira wautendee kazi.

Manjesta Wanataka Casemiro acheze Kama lone 6 za modern football ahusike kwenye buildup , akave eneo kubwa ,ndio maana Yellow and Red cards zinamuandama , lakini Rodri, Partey ,kina busquet uchezaji wao wanaweza kutoka uwanjan wasafi


Football ya zaman bado inaamini no.6 lazima awe na fujo ,mkorofi, kadi za njano na nyekundu azipate
 
Naomba nichangie kidogo kwa 4-3-3 ambayo tunatumia Lone 6

Lazima tu umtumie Rodri

Yaan hata Casemiro hafai ,binafsi namuona Rice Ni version ya Casemiro

Viungo wa namna hii Kuna vitu Wana hitaji ili kucheza lone 6

Ile kuhusishwa kwenye buildup na u supply mipira pande zote kwa usahihi ,ukifanyiwa pressing utoboe vzr tu, ukave eneo kubwa peke yako sio kazi nyepes

Thus why pale Madrid casemiro alikuwa hausishwi kwenye buildup, Ni Modric na Kross ndio wanachukua mipira chini na kuanza kusupply kwa pass zao ndefu na za ufundi , casemiro alikuwa Ni kukaba na kuwapa hao mafundi mpira wautendee kazi.

Manjesta Wanataka Casemiro acheze Kama lone 6 za modern football ahusike kwenye buildup , akave eneo kubwa ,ndio maana Yellow and Red cards zinamuandama , lakini Rodri, Partey ,kina busquet uchezaji wao wanaweza kutoka uwanjan wasafi


Football ya zaman bado inaamini no.6 lazima awe na fujo ,mkorofi, kadi za njano na nyekundu azipate
Na kwa imani hiyo kwa Casemiro hata Erik akamuweka jamaa kwenye 4 1 4 1 naamini hii formation ilisababisha apate red
 
Naomba nichangie kidogo kwa 4-3-3 ambayo tunatumia Lone 6

Lazima tu umtumie Rodri

Yaan hata Casemiro hafai ,binafsi namuona Rice Ni version ya Casemiro

Viungo wa namna hii Kuna vitu Wana hitaji ili kucheza lone 6

Ile kuhusishwa kwenye buildup na u supply mipira pande zote kwa usahihi ,ukifanyiwa pressing utoboe vzr tu, ukave eneo kubwa peke yako sio kazi nyepes

Thus why pale Madrid casemiro alikuwa hausishwi kwenye buildup, Ni Modric na Kross ndio wanachukua mipira chini na kuanza kusupply kwa pass zao ndefu na za ufundi , casemiro alikuwa Ni kukaba na kuwapa hao mafundi mpira wautendee kazi.

Manjesta Wanataka Casemiro acheze Kama lone 6 za modern football ahusike kwenye buildup , akave eneo kubwa ,ndio maana Yellow and Red cards zinamuandama , lakini Rodri, Partey ,kina busquet uchezaji wao wanaweza kutoka uwanjan wasafi


Football ya zaman bado inaamini no.6 lazima awe na fujo ,mkorofi, kadi za njano na nyekundu azipate
TP si mzuri kwa matumizi ya mpira kama alivyo Bosquets au Rodrigo japo TP ni bora kuliko Casemiro in this regard. Hivyo Zinny kuwa inverted Arsenal inachangiwa na mambo matatu, moja kusadia progression, huu ni udhaifu wa namba 6 wetu ku supply clean balls kwenye tight areas kitu ambacho Declan anafanya every damn time

Pili, tunamtumia GX kama LCM ambaye ni mzuri defensively, traditional CM, lakini si mchezaji wa ku dicate tempo ni Zinny anayekuwa tempo setter lakini na Xhaka kwa kuwa ni box to box so every damn time anaenda kila box kusaudia wachezaji wengine automatically inacontrol tempo,

Tatu Zinny & White wanakuwa inverted ku provide midfield compactness wakati wa defensive transition (235 in settled attacks) so hata TP ingawa ana pnp anahitaji watu kumsaidia ku cover eneo la pivot, akiwa peke yake anakuwa Vulnerable. Rice ni tempo setter na pia ni destroyer, he will sort out our midfield imbalances with ease. Mwanzo anakuwa upgrade role ya Xhaka huku TP akiendelea kama 6 ila baadae kama unampata mid aina ya Pedri au Xavi then Rice ni upgrade kwa TP cuz ni mzuri kutumia mpira kuliko Partey, so our midfield dynamic inakuwa ø, rice maybe Patino au mchezaji kama Pedri/ paqueta.

Im not saying that Rice is the best holding midfielder itw rn but he gonna be the best itw under Mikel Arteta.
 
Tatizo hujanielewa, kwa sajili hizi zikifanikiwa zitatupa 10+ more points nxt season, kumbuka msimu huu tumepata almost point 70. 2023/24 Arsenal itastrength tena kuongeza margin, so bingwa hatofika point 90+ kama sasa, Kama Arsenal atakuwa na uhakika wa point 80+ na ubingwa unahitaji point 80+, so inamzuia vipi Arsenal kuwa kwenye title push?
Willy ulikuwa na maono
 
Back
Top Bottom