Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtihani upo kesho, Saliba majeruhi na Tomiyasu majeruhu kama sikosei, nana atacheza beki wa kati na Gab
 
Timu imefululiza mechi zaidi ya kumi bila ushindi. Kabla ya kukutana na Arsenal mnatimua kocha.
Hizi njama dhidhi yetu mbona zimezidi? Crystal Palace wangesubiri wacheze na sisi kwanza wangeshuka daraja? Sasa wanataka yale ya Everton yajirudie ?
 
Timu imefululiza mechi zaidi ya kumi bila ushindi. Kabla ya kukutana na Arsenal mnatimua kocha.
Hizi njama dhidhi yetu mbona zimezidi? Crystal Palace wangesubiri wacheze na sisi kwanza wangeshuka daraja? Sasa wanataka yale ya Everton yajirudie ?
Amini jau kwer yani
 
We back again,
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata majerui ni nketia na elneny tu
Kwaio Palace atapigwa kama walivyopigwa wenzake (nyumbu, kengechelshit...

Yani Kama mslaba wa jumuiya, leo utalala kwa palace alafu tunaingia mechi za kitaifa

Arsenal NDOO
Haaland kiatu
 
We back again,
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata majerui ni nketia na elneny tu
Kwaio Palace atapigwa kama walivyopigwa wenzake (nyumbu, kengechelshit...

Yani Kama mslaba wa jumuiya, leo utalala kwa palace alafu tunaingia mechi za kitaifa

Arsenal NDOO
Haaland kiatu
Saliba na Tomiyasu wana injury pia

Rob Holding ataanza game ya leo
 
SALIBA PIGO JIPYA ARSENAL

Taarifa ambazo zipo kwasasa, Beki William Saliba anatarajiwa kiwa nje kwa Wiki kadhaa baada ya Majeraha aliyopata kwenye mchezo wa Sporting CP, Usiku wa Alhamisi.

Kikosi cha Ufaransa kinajiandaa Kutoa taarifa ya Kumuondoa Saliba kwenye kambi, Ikitarajiwa na Arsenal kuelezea kwa kina.... Majeraha haya baadhi wameshutumu ni janja ya Arsenal kupumzisha Wachezaji wao wasicheze michezo ya Kimataifa.
 

Attachments

  • FB_IMG_16792074136712421.jpg
    FB_IMG_16792074136712421.jpg
    137.8 KB · Views: 10
ARSENAL VS CRYSTAL: KUTAWAKA MOTO 🔥

Tunasonga mbele na kusahau kilichotokea, tunafungwa pamoja na tunashinda pamoja

Emirates, London... kutawaka moto majira ya Saa kumi na moja (kwa Afrika Mashariki), Washika Bunduki wakiwa karibisha Tai wa London, Hii ni London Derby haswa. Ukiwa ni mchezo wao wa 26 tangu Vilabu hivyo Viasisiwe.

Katikati ya Wiki, Crystal Palace walitangaza Kuachana na aliyekuwa Kocha wao Patrick Vieira tokana na mfululizo wa matokeo mabovu... jahazi likiwa mikononi mwa Nahodha wao wa Zamani na Kocha wa Kikosi Chao cha U-21, Paddy MCcarthy , hadi watakavyo amua Vinginevyo.

Akiingia na tahadhari ya Kumkosa Kiungo Albert Sambi Lokonga ambaye Kwa Sheria za England hawezi kucheza na Waajili wake kwani yupo kwa Mkopo. Kipa Guetta, Will Hughes na James Mc Arthur wapo mashakani kucheza Mchezo wa Leo

Ama Arsenal Wao watamkosa Beki William Saliba, Huku Eddie Nketiah na Takehiro Tomiyasu wakiwa katika hati hati. Huku taarifa ya Kuitwa Kikosi cha Kwanza Reuel Walters ikipokewa kwa hisia mbali mbali.
 

Attachments

  • FB_IMG_16792075594198723.jpg
    FB_IMG_16792075594198723.jpg
    119.5 KB · Views: 10
Back
Top Bottom