Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi jana mnaelewa mlichokuwa mnafanya kweli?
 

Attachments

  • JamiiForums-1813807638.jpeg
    JamiiForums-1813807638.jpeg
    47.9 KB · Views: 10
Najua mlipenda sana kukutana na sisi next stage ila Mungu kawapenda zaidi

Poleni tutaonana next season.

Ramsdale jana usiku akijaribu kuzuia penalty View attachment 2554764
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Muda huu hamis77 analichungulia hili jukwaa hiviView attachment 2555420
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣https://media.tenor.com/vjnEDddwf0AAAAAM/lel-teeth.gif
😂😂
 
Muoneshe na yule m**nga anaitwa hamis77 . Wewe computerarsenal una akili kubwa kwenye ukweli unasema waziwazi.
Miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal wanaojielewa na wasiopenda unafki ni computerarsenal
Huyu jamaa timu ikiwa vizuri anasifia na kupongeza, na pale wachezaji au kocha wakizingua hua anawachana live, hanaga kurembaremba maneno timu ikifanya upuuzi.
Hongera sana computerarsenal mashabiki wa timu kubwa zote duniani wanakukubali, yaani kama kungekua na tuzo zozote zinazotolewa kwa ajili ya mashabiki bora hakika ungejinyakulia medani za kutosha.
 
Back
Top Bottom