ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Muoneshe na yule m**nga anaitwa hamis77 . Wewe computerarsenal una akili kubwa kwenye ukweli unasema waziwazi.Very painful bado sijapata nafuu hadi sasa View attachment 2555415
Muoneshe na yule m**nga anaitwa hamis77 . Wewe computerarsenal una akili kubwa kwenye ukweli unasema waziwazi.Very painful bado sijapata nafuu hadi sasa View attachment 2555415
Arsenal hapo atatoboa kweli? Mimi napenda abebe EPL huyu Arsenal ila kwa hiki kikombe kitanywewa kweli?Tunakumbushana kwa nia njema tu, kwenye Epl mkiachana na hizi mechi za katikati na kina Liverpool fixtures zenu za mechi za mwisho kabisa wa ligi ni hizi hapa. View attachment 2555506
Ramsdale ni kama Zumaridi tu, wote walipaa na kwenda zao mbengoni. View attachment 2555060View attachment 2555061View attachment 2555062




😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Najua mlipenda sana kukutana na sisi next stage ila Mungu kawapenda zaidi
Poleni tutaonana next season.
Ramsdale jana usiku akijaribu kuzuia penaltyView attachment 2554764
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣https://media.tenor.com/vjnEDddwf0AAAAAM/lel-teeth.gif
😂😂
Watu mna roho mbaya...Arsenal katolewa na Hamsemi daaah
View attachment 2555713
View attachment 2555706








Asenyo kitu pekee anaweza beba msimu huu ni mimba tu.Arsenal hapo atatoboa kweli? Mimi napenda abebe EPL huyu Arsenal ila kwa hiki kikombe kitanywewa kweli?


Mimba gani tena wakati washaanza kutema tema mate toka jana wanadai wanahisi kichefu chefuAsenyo kitu pekee anaweza beba msimu huu ni mimba tu.
Miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal wanaojielewa na wasiopenda unafki ni computerarsenalMuoneshe na yule m**nga anaitwa hamis77 . Wewe computerarsenal una akili kubwa kwenye ukweli unasema waziwazi.
Tumekamatwa pabayaSanaa daah ngoja tuone tunatokaje



hii inaitwa mshike mshike ndege tunduni, na Arsenyani watu wameamua kumshikashika kweli tunduni.