Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yeah tomiyasu ni majerui
Ila saliba ni doubtful

Kwanza palace bila ya hao mbona anakufa vizuri tu na hii ya arsenal ya NDOO
Kwani Holding ana shida gani kucheza hapo, sema Yakub Kivior ni left footed ni shida kucheza na Gabriel.
 
Timu imefululiza mechi zaidi ya kumi bila ushindi. Kabla ya kukutana na Arsenal mnatimua kocha.
Hizi njama dhidhi yetu mbona zimezidi? Crystal Palace wangesubiri wacheze na sisi kwanza wangeshuka daraja? Sasa wanataka yale ya Everton yajirudie ?
Arsenal ndio timu iliyoteuliwa kuwakaribisha makocha wapya kwenye Epl.
 
Crystal palace anaweza kutupa ile kitu roho inataka, ngoja tuweke kambi.
 
Yani kichapo Cha sporting kimewatawanya kabisa hata kupost kikosi mnashindwa.
 
Back
Top Bottom