The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Tatizo lake hataki kuamini kwamba timu yake bado sn na haitabiriki, so inaposhinda inabidi aweke akiba ya maneno.Timu ikipata ushindi utamuona tu ondoa shaka ndugu yetu huyu tunamjua
Tatizo lake hataki kuamini kwamba timu yake bado sn na haitabiriki, so inaposhinda inabidi aweke akiba ya maneno.Timu ikipata ushindi utamuona tu ondoa shaka ndugu yetu huyu tunamjua
Aaron Arsenal huyo bana, Hamis77 ni zaidi ya wote.Hivi hamis sio @ yule jamaa aliyepoteza simu kweli mbona wanafanana kila kitu?
Mbona kama ni mtu mmoja hao watu.Aaron Arsenal huyo bana, Hamis77 ni zaidi ya wote.
Ni 'ndugu moya'Hivi hamis sio @ yule jamaa aliyepoteza simu kweli mbona wanafanana kila kitu?
Wewe ndio ulikuwa unaitwa Ulimkafu?Aaron Arsenal huyo bana, Hamis77 ni zaidi ya wote.
Wewe ulibadili I'd ya H.A?Wewe ndio ulikuwa unaitwa Ulimkafu?
[emoji23][emoji23][emoji23] Arsenal ndio timu iliyoteuliwa kuwakaribisha makocha wapya kwenye Epl.Timu imefululiza mechi zaidi ya kumi bila ushindi. Kabla ya kukutana na Arsenal mnatimua kocha.
Hizi njama dhidhi yetu mbona zimezidi? Crystal Palace wangesubiri wacheze na sisi kwanza wangeshuka daraja? Sasa wanataka yale ya Everton yajirudie ?
Saka sijui amekuaje siku hizi kama confidence imeshuka kiasi