Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Kwani Holding ana shida gani kucheza hapo, sema Yakub Kivior ni left footed ni shida kucheza na Gabriel.Yeah tomiyasu ni majerui
Ila saliba ni doubtful
Kwanza palace bila ya hao mbona anakufa vizuri tu na hii ya arsenal ya NDOO![]()


