Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kim Kardashian amemuahidi Saka kuwa ataenda Emirates tena kama Saka atabeba Premier league so kwa hasira atakazokuwa nazo Saka subiria Magoli na Ma assist ya kutosha
Mkuu Saka ameshaisha, ni aibu hajadumu kwa muda mrefu kwenye kiwango. Wachezaji wa aina hiyo (left hand) chenga zao ni za upande mmoja wakishajuliwa na mabeki ndio basi tena.
 
Hawa nzi waliojaa humu kufikia kesho jioni kila mmoja atakimbilia jalala lake
Bado una matumaini na hako katimu..

Hivyo ni vitoto vinarukaruka havijui hata target ya mechi ni kushinda, bado vina akili ya kitoto ya "chenga twawala"
 
Mtihani upo kesho, Saliba majeruhi na Tomiyasu majeruhu kama sikosei, nana atacheza beki wa kati na Gab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…