Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pia Gorginho sio wa kutegemea hata kidogo, sioni kama ni mzuri uwanjani kama watu wanavyomsifu, pia goli kufungwa kasababisha yeye
Sisi kama chelsea Jorginho tulikuwa hatumkali na Ndio mchezaji alikuwa anaongoza kwa criticism za mashabiki pale darajani baada kuwapa ndio mashabiki wenzako wa Arsenal wakawa baadhi wanamsifia
 
Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
 
Labda wachukue kombe la uji, ila nakuhakikishia hao Kenge hata ligi hawachukui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…