Sisi kama chelsea Jorginho tulikuwa hatumkali na Ndio mchezaji alikuwa anaongoza kwa criticism za mashabiki pale darajani baada kuwapa ndio mashabiki wenzako wa Arsenal wakawa baadhi wanamsifia
Mashabik wenu wengne wanaona lbd ndo vzr.. Sio vzr hata kdg ukiwa unafukuza na Pep na city kwny ligi tena gape lenyw point 5.
Arsenal msimu huu mkienda bila kikombe asee mtakua ni wazembe sana tena sana, Yan bora kocha na wachezaj wajue wanatkiwa kufia uwanjan kwny ligi wawape washabik wao walau furaha msimu huu.. Hype yote hii mkienda kapa maneno ya wapinzan mtajuta.
Sisi kama chelsea Jorginho tulikuwa hatumkali na Ndio mchezaji alikuwa anaongoza kwa criticism za mashabiki pale darajani baada kuwapa ndio mashabiki wenzako wa Arsenal wakawa baadhi wanamsifia