verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,126
- 6,179
Game ya city haijalishi tupate matokeo tukose ubingwa wetu huu2kipata matokeo game yetu na city itakuwa asilimia 100 ya kuwa mabingwa
Game ya city haijalishi tupate matokeo tukose ubingwa wetu huu2kipata matokeo game yetu na city itakuwa asilimia 100 ya kuwa mabingwa
kwenye ligi wew umemfunga city mwaka gan? cjaongelea carabao na vkombe vya mbege nyie n title pretender2Unaongea upuuz ,Tumechukua FA cup ,Arteta anamfunga huyo Pep 2-0 Wembley ,tatizo mmeanza kuangalia mpira juz
Wewe mshabiki wa Chelkenge nafasi ya 10 humu unatafuta nn
Hapna kk tuna game na newcasterA,chelsea H,livepool AGame ya city haijalishi tupate matokeo tukose ubingwa wetu huu
ukikuta tembo juu ya mti ujui amepandaje ila unajua atadondoka2Timu yako ipo nafasi ya ngapi ? Maana unaweza kuta unajipitisha hapa kumbe umeachwa points 30

huna uefa huna ueropa we na brentford tofauti yenu n nn kama sio mistari ya jezi' london iz olwayz blue

Hizo game tunashinda comfortably kama game ya leo maana timu kuelekea mwishoni mwa msimu zinafunguka na hapo ndo watapoumia pona yao ni kucheza either 5-4-1/4-5-1Zinaweza zikatumyima furaha ya msimu mzima
Imeisha hiyoArsenal NDOO
Wewe upo nafasi ya ngapi na umeachwa point ngap?kwenye ligi wew umemfunga city mwaka gan? cjaongelea carabao na vkombe vya mbege nyie n title pretender2
Chelshit pale kwao tuliwapigia mpira mkubwa na pass za haraka haraka Hadi hurumaHizo game tunashinda comfortably kama game ya leo maana timu kuelekea mwishoni mwa msimu zinafunguka na hapo ndo watapoumia pona yao ni kucheza either 5-4-1/4-5-1
Sasa nataka chelshit waje na 3-4-3 yao EMIRATES waone aibu watayoipata
nyie n mbarara wadogo sana na nakuja kukupigia apo apo geto kwako na mm ndo ntakunyima kombe asenaneChelshit pale kwao tuliwapigia mpira mkubwa na pass za haraka haraka Hadi huruma
Bado chelkenge hawana uwezo wakustahimili pale Emirates
Hawa chelkenge huwa ni vibonde wetu sikumbuki lini wametufunga
Sikumbuki lini ulitufunganyie n mbarara wadogo sana na nakuja kukupigia apo apo geto kwako na mm ndo ntakunyima kombe asenane
Tumekuacha points 30+ kujadiliana na wewe ni matumizi mabaya ya MBnyie n mbarara wadogo sana na nakuja kukupigia apo apo geto kwako na mm ndo ntakunyima kombe asenane
mimi ndo ntakunyima kombe nakwambia ww una tim ya kunifunga nikiwa fit utazan utamkuta malang sarrTumekuacha points 30+ kujadiliana na wewe ni matumizi mabaya ya MB
bado huna timu ya kwenda Toe to Toe
Tumekuwa tunazibinya timu kukaa nyuma wiki kila wiki
So Jenga timu Kwanza ,
Wewe una K au Tigo kubwahuna uefa huna ueropa we na brentford tofauti yenu n nn kama sio mistari ya jezi' london iz olwayz blue![]()
unakatwa na sambi lokonga ww tuliza mshono assanalWewe una K au Tigo kubwa
Kuanzia kwa tuchel tunakupiga nje ndan,pre season tunakupiga ,kwako tumekulambamimi ndo ntakunyima kombe nakwambia ww una tim ya kunifunga nikiwa fit utazan utamkuta malang sarr
😄😄😄BUILDUP MONSTERS
Umeiona Ile Pasi ya William SALIBA kwa Granit Xhaka kwenye bao la pili la Arsenal? Tena kwa kutumia mguu wa kushoto? World class
Ile ndo Sababu Arsenal ni team bora EPL kwenye kujenga shambulizi Kuanzia nyuma.Ili ujenge shambulizi vizuri kuanzia nyuma unahitaji (A) Uwe Wana wachezaji ambao wapo vizuri mpira ukiwa mguuni kwao.Arsenal Ina Saliba, Gabriel,Ben White, Zinchenko, Ramsdale.
Lakini pia Lazima kuwepo na Muundo mzuri wenye virutubisho vyote kuwezesha ujenzi Bora wa hilo shambulizi.Arsenal mara nyingi wanajenga mashambulizi Muundo ukiwa 3+2.Gabriel , SALIBA na White+Thomas Partey na Zinchenko
Hata hivyo wakati Mwingine Inategemea na team pinzani inapeleka wachezaji wangapi kufanya Pressing? Kwa mfano kwenye hili bao, Fulham walifanya Man to Man Pressing kwa Sekunde 30.Maana yake walipeleka wachezaji 6 , Mitrovic akiweka Pressure kwa Ramsdale.
Lakini bado Arsenal walifanikiwa kutoka, unajua Kwanini? Position ya Granit Xhaka ule upande wa kushoto ikawa sehemu maalumu ya Arsenal kutoka kwenye Presha ya FULHAM (Out ball)
Hata dhidi ya team bora zenye Muundo mzuri kwenye kuweka presha ndani ya EPL kama Manchester City Bado Arsenal wana uwezo wa kujenga shambulizi kuanzia nyuma Bila wasi wasi na kufanikiwa
Nini umuhimu wa kujenga shambulizi kuanzia nyuma? (A) Kuufungua kwa urahisi Muundo wa kuzuia wa team pinzani.Kwanini? Kwasababu sio rahisi sana kwenye team kwenda kufanya Pressing Halafu bado Muundo wao kwenye kuzuia ukabaki umeungana.Lazima Kuna mashimo mengi mnaayacha nyuma.(B)Kuipa team Muundo mzuri wa kushambulia kwa utulivu na pasi za uhakika
FTEnglish premier league FULHAM 0-3 ARSENAL
Note; Umeshawahi kusikia neno HAT TRICK OF ASSIST? Muulize Leandro Trossard,nitamleta Baadae View attachment 2547896View attachment 2547897